Swali linalonisumbua sana kichwani

Swali linalonisumbua sana kichwani

Oscar Wissa

Senior Member
Joined
Sep 5, 2018
Posts
128
Reaction score
196
Naomba kujua hivi kwanini baadhi ya smartphones watengenezaji huamua kutoweka sehemu ya memory card na kutokuweka redio. Mfano baadhi ya Xiaomi, sina uhakika kama zote, na Iphones zote.
 
Naomba kujua hivi kwanini baadhi ya smartphones watengenezaji huamua kutoweka sehemu ya memory card na kutokuweka redio. Mfano baadhi ya Xiaomi, sina uhakika kama zote, na Iphones zote.
Storage ya inatosha kwa uwezo wa simu kwa kigezo

1... RAM
2... Processor
3... Battery life span

Hivyo Lengo kuu ni kuhakikisha performance haitaathiriwa kwa extenal storing za multmedia.
 
Wanataka endapo moja wapo ya sehemu ambayo inaweza kuwa removable ikishindwa kufanya kazi vizuri basi urudi kwao kununua kifaa kingine kipya.

Naona hii ni business strategy
 
Naomba kujua hivi kwanini baadhi ya smartphones watengenezaji huamua kutoweka sehemu ya memory card na kutokuweka redio. Mfano baadhi ya Xiaomi, sina uhakika kama zote, na Iphones zote.
Hapa ndipo unahitaji kununua kitu kulingana na mahitaji yako.

Si kila mtu anahitaji memory ya ziada, wapo watu ambao hata 8GB inawatosha sana.

Si kila mtu anahitaji kusikiliza redio kwenye simu, mtu yupo kwenye gari muda mwingi akitaka redio atafungulia ya kwenye gari.
 
Back
Top Bottom