Swali langu la papo kwa papo kwa Mh. Rais Magufuli

mr mkiki

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
5,588
11,668
Swali langu la papo kwa papo kwa Mh. Rais Magufuli.
1 (a) Mh. Rais; Ikiwa unakubaliana na kuwataja watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya hadharani, na ikiwa jeshi la polisi lilikabidhi ikulu orodha ya watu hao mwaka 2008 , je! Uko tayari kutumia orodha hiyo kuwataja watu hao?

(b) Kitendo cha kukubaliana na njia anayotumia Mh. Makonda ya kuwataja hadharani lakini wewe usiweke hadharani orodha ambayo ipo ikulu, je! ni kiashiria cha kuwaogopa watu hao na kumshakizia Mh. Makonda?

(c). Kama Orodha hiyo haipo, Je! Unataka kutuambia kuwa Rais aliyepita aliondoka nayo au kuichoma moto?

NB. Sihitaji majibu, nahitaji Tafakuri! Tutafakati wote kama Taifa. Halafu tuone njia tuliojiamulia kuifuata kama itatufikisha popote.
 
Swali langu la papo kwa papo kwa Mh. Rais Magufuli.
1 (a) Mh. Rais; Ikiwa unakubaliana na kuwataja watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya hadharani, na ikiwa jeshi la polisi lilikabidhi ikulu orodha ya watu hao mwaka 2008 , je! Uko tayari kutumia orodha hiyo kuwataja watu hao?

(b) Kitendo cha kukubaliana na njia anayotumia Mh. Makonda ya kuwataja hadharani lakini wewe usiweke hadharani orodha ambayo ipo ikulu, je! ni kiashiria cha kuwaogopa watu hao na kumshakizia Mh. Makonda?

(c). Kama Orodha hiyo haipo, Je! Unataka kutuambia kuwa Rais aliyepita aliondoka nayo au kuichoma moto?

NB. Sihitaji majibu, nahitaji Tafakuri! Tutafakati wote kama Taifa. Halafu tuone njia tuliojiamulia kuifuata kama itatufikisha popote.

Kuna nini cha "kutafakati" kwenye huu utumbo uliouleta?

Mkakati ummeshanzishwa na Makonda na Rais kauunga mkono.

a) List ilishakabidhiwa kwa vyombo husika.

b) Tazama "a"

c) Tazama "a".
 
Kuna nini cha "kutafakati" kwenye huu utumbo uliouleta?

Mkakati ummeshanzishwa na MMakonda na Rais kauunga mkono.

a) List ilishakabidhiwa kwa vyombo husika.

b) Tazama "a"

c) Tazama "a".
Note
 
Kuna nini cha "kutafakati" kwenye huu utumbo uliouleta?

Mkakati ummeshanzishwa na MMakonda na Rais kauunga mkono.

a) List ilishakabidhiwa kwa vyombo husika.

b) Tazama "a"

c) Tazama "a".

mbona basi wasitajwe hadharani ... maana nadhani wao ndio watafutwaji haaasaaa!!!
 
Swali langu la papo kwa papo kwa Mh. Rais Magufuli.
1 (a) Mh. Rais; Ikiwa unakubaliana na kuwataja watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya hadharani, na ikiwa jeshi la polisi lilikabidhi ikulu orodha ya watu hao mwaka 2008 , je! Uko tayari kutumia orodha hiyo kuwataja watu hao?

(b) Kitendo cha kukubaliana na njia anayotumia Mh. Makonda ya kuwataja hadharani lakini wewe usiweke hadharani orodha ambayo ipo ikulu, je! ni kiashiria cha kuwaogopa watu hao na kumshakizia Mh. Makonda?

(c). Kama Orodha hiyo haipo, Je! Unataka kutuambia kuwa Rais aliyepita aliondoka nayo au kuichoma moto?

NB. Sihitaji majibu, nahitaji Tafakuri! Tutafakati wote kama Taifa. Halafu tuone njia tuliojiamulia kuifuata kama itatufikisha popote.
usipoangalia utapangiwa kazi nyingine...
 
Back
Top Bottom