Swali langu Kwa wazazi

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Dec 29, 2014
15,271
29,879
Swali langu kwa wazazi....

Wewe ni mzazi, mwanao wa kike anasoma kidato cha 3 mkoani umemsafirisha leo kwenda shule

Baada ya masaa matano ukasikia garialilopanda mwanao limepata ajali na wamekufa watu wote,

Upokatika harakati za kuandaa msiba mwanao anakupigia simu baba/mama mimi mzima sijafa mpenzi wangu Ambiere

aliniambia nishuke ili niwe nae kwa siku mbili alafu niende shule

je wewe mzazi ungemfanyaje ?

Nawasilisha
 
Hapo ndo utagundua kuwa kila jambo linalotokea Mungu ana makusudi yake.
Kwanza nitamshukuru Mungu kwa uhai wa mwanangu mpendwa, pili nitamuuliza kama kuna lililotokea kati yao na mwisho nikumpa ushauri tuu azingatie masomo kwani mapenzi yapo tuu. Sababu hata kama asingesema alikuwa kwa Mpenzi wake kwa umri huo lazma atakuwa anae tuuu
 
Ambiele atanitambua haiwezekan mwanafunzi wa kidato cha tatu awekwe kinyumba. Kama siku zake hazikufika hata kwenye hio ajali kama angekuwemo angepona tu.
 
Hapo ndo utagundua kuwa kila jambo linalotokea Mungu ana makusudi yake.
Kwanza nitamshukuru Mungu kwa uhai wa mwanangu mpendwa, pili nitamuuliza kama kuna lililotokea kati yao na mwisho nikumpa ushauri tuu azingatie masomo kwani mapenzi yapo tuu. Sababu hata kama asingesema alikuwa kwa Mpenzi wake kwa umri huo lazma atakuwa anae tuuu
Kwa mana Iyo ambiere ajilie tunda lake
 
Back
Top Bottom