Swali la ufahamu..hivi watoto wanaozaliwa njiti huanza kuhesabu birthday mwezi wa saba au wa tisa?

nini maana ya birthday?..
TAHADHARI-Usigoogle kutafuta jibu maana hata wao hawana
 
Aiseeh....
Tunahesabu miaka aliyoishi duniani.
Sasa miezi ya kuwa tumboni mbona hamna uhusiano mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…