Swali la msingi wakuu

Stimavoltage

Member
Joined
Oct 18, 2018
Posts
16
Reaction score
8
Ningependa kufahamu juu ya zile asilimia za mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu je!? Kila asilimia moja huwa inakuwa na thamani ya shilingi ngapi!?
msaada wenu wakuu wangu πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Duh Tanzania ya viwanda ndio hii, muulize swali ni kiwanda kidogo
 
Ningependa kufahamu juu ya zile asilimia za mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu je!? Kila asilimia moja huwa inakuwa na thamani ya shilingi ngapi!?
msaada wenu wakuu wangu πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
Kijana umeshajua kwanza umepata mkopo kiasi gani?
Subiri allocation yako ya mkopo itoke ndo utaweza kupata jibu LA swali lako Ila ujue kuwa zama hizi kupata mkopo 100% ni Kama bahati nasibu so omba mungu kuna watu wanalipiwa adaa sh. 5000 kwenye milioni
 
Shukran sana mkuu
 
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…