Swali la Msingi: Kwanini hatuendelei kama Nchi

ze farmer

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
921
1,800
Hili ni swali gumu sana lenye majibu mepesi.
Moja:
Uongozi Safi (Best leadership). Nchi hii hata ingejaa dhahabu kiasi gani bila uongozi imara kupiga hatua ni ndoto za mchana. Wakati wengi wenu mkikimbilia nchi za Asia, uarabuni na kwingineko tambueni tu nchi hizo at one point in time tulikuwa tuko Sawa ni terms of level of development.
Mbili:
Strong institution. Hapa ni kuwa lazima tuwe na Katiba imara, mhimili wa mahakama usioingiliwa hata na taasisi zingine na wenye nguvu ya kumshitaki hata raisi ikifanya fyongo.
Tatu:
Kazi na elimu. Watu wafanye kazi na kuwe na tuzalishe wataalamu wengi kwa maana ya kuwa na strong and knowledgeable human resource base.
Mengine ni kama ziada tu.
Kukosa Namba moja mengine yote sahauni.
Conclusion: Wale mnaopiga kelele kuwa Tanzania itaendelea kuwa kama ulaya kwa kasi sijui ya awamu gani basi yafaa mujihoji..
Wito. Tufanye mabinduzi ya kiuongozi sio lazima CCM itoke madarakani bali tubadili wanaotuongoza kuwa na sifa ya kuliletea Taifa maendeleo. Pia tunaweza itoa mana ni sisi tumeiweka
 
Hili ni swali gumu sana lenye majibu mepesi.
Moja:
Uongozi Safi (Best leadership). Nchi hii hata ingejaa dhahabu kiasi gani bila uongozi imara kupiga hatua ni ndoto za mchana. Wakati wengi wenu mkikimbilia nchi za Asia, uarabuni na kwingineko tambueni tu nchi hizo at one point in time tulikuwa tuko Sawa ni terms of level of development.
Mbili:
Strong institution. Hapa ni kuwa lazima tuwe na Katiba imara, mhimili wa mahakama usioingiliwa hata na taasisi zingine na wenye nguvu ya kumshitaki hata raisi ikifanya fyongo.
Tatu:
Kazi na elimu. Watu wafanye kazi na kuwe na tuzalishe wataalamu wengi kwa maana ya kuwa na strong and knowledgeable human resource base.
Mengine ni kama ziada tu.
Kukosa Namba moja mengine yote sahauni.
Conclusion: Wale mnaopiga kelele kuwa Tanzania itaendelea kuwa kama ulaya kwa kasi sijui ya awamu gani basi yafaa mujihoji..
Wito. Tufanye mabinduzi ya kiuongozi sio lazima CCM itoke madarakani bali tubadili wanaotuongoza kuwa na sifa ya kuliletea Taifa maendeleo. Pia tunaweza itoa mana ni sisi tumeiweka
Maendeleo ni nini? Nyumbani kwangu kijijini miaka 30 iliyopita kulikuwa nyumba za tofali zinahesabika; leo hii kila boma kwa uchache kuna nyumba moja na umeme. Ninakoishi mjini mtaani kwetu miaka 17 iliyopita familiz zenye magari zilikuwa zinahesabika leo karibu kila nyumba ina gari......maendeleo kwako ni nini? Vibanda vya kuuza mkaa mitaani vinafutika badala yake kuna vibanda vyakuuza gesi......kwako maendeleo ni nini?........miji mingi ukitafuta shell zenye mafuta ya taa utazunguka sana maana hiyo nishati haitumiki tena .....kwako maendeleo ni nini? Leo kila familia inalia upatikanaji wa wasichana wa kazi za ndani umekuwa mgumu unajua ni kwa sababu watoto karibu wote wa nchi wako shule?....hayo siyo maendeleo ni nini?
 
Kwako kupungua vibanda vya mkaa ni Maendeleo ukijenga nyumba ya matofali kwako ni Maendeleo..
Let me tell you brother.. Maendeleo ni Maendeleo ya watu na vitu.. Madharani miaka 60 toka tuanze kujitawala watoto shule wanakaa chini, wanasomea nje kwenye mti. Miaka 60 leo wakina mama wanajifungulia chini hatuna vitada hospitalini, miaka 60 Leo tuna import mpaka toilet paper achana na hayo magari ambayo kwako unafikiri maendeleo, miaka 60 leo nenda singida huko kaone nyumba za tembe, miaka 60 asilimia 50% hawana access ya maji Safi na salama. Miaka 60 wanafunzi hawana vitabu..
Maendeleo hayapimwi kwa uwingi wa sheli na matumizi ya mafuta ya taa. Go back to school (Japo utaenda kupuyanga tu mana hamna vitabu huko).
 
You need big brain to discuss National development ajenda sio Mahaba ya chama
Maendeleo ni nini? Nyumbani kwangu kijijini miaka 30 iliyopita kulikuwa nyumba za tofali zinahesabika; leo hii kila boma kwa uchache kuna nyumba moja na umeme. Ninakoishi mjini mtaani kwetu miaka 17 iliyopita familiz zenye magari zilikuwa zinahesabika leo karibu kila nyumba ina gari......maendeleo kwako ni nini? Vibanda vya kuuza mkaa mitaani vinafutika badala yake kuna vibanda vyakuuza gesi......kwako maendeleo ni nini?........miji mingi ukitafuta shell zenye mafuta ya taa utazunguka sana maana hiyo nishati haitumiki tena .....kwako maendeleo ni nini? Leo kila familia inalia upatikanaji wa wasichana wa kazi za ndani umekuwa mgumu unajua ni kwa sababu watoto karibu wote wa nchi wako shule?....hayo siyo maendeleo ni nini?
 
My furend nchi haiwez kuendelea as nchi. Bali maendeleo ya mtu mmoja mmoja Ndio huleta maendeleo ya nch 1+1+1+1+...................= A VERY BIG THING.
Personal development/ maendeleo ya mtu binafs ni muhimu kwa taifa. individual hakishindwa kutambua potential ambayo yupo nayo ningumu sana taifa kuendelea.
Kumbuka kweny individuals ndo tunatoa watu wenye kulisaidia taifa katka ukusanyaji WA mapato yanayo saidia ujenz wa maendeleo ya taifa. Tunayo mifano hai bwana Saidi baharesa n mmoja wetu alitumia potential yake back at the days na leo kupitia makampuni yake anachangia zaid ya 5% kwenye kodi ya nchi pia the same story kutoka kwa wengine ni the same Mfano figure zinazojulikana MENGI na wengine wengi katka industry tofauti tofauti
 
TUNAKOPA THEN TUNAJENGEA MABARABARA YENYE IFISADI WA KUTISHA.,HIVI TUNAJENGA SAFINA ILIYOJENGWA MIAKA 100?????
BARABARA ZILIANZA KUJENGWA TANGU UHURU MPAKA MWISHO WA DUNIA UTAENDELEA KUSIKIA UJENZI WA BARABARA UMEJENGWA NA MABILIONS YA MKOPO SIJUI KUTOKA WAPI

VIWANDA KWANZA
 
My furend nchi haiwez kuendelea as nchi. Bali maendeleo ya mtu mmoja mmoja Ndio huleta maendeleo ya nch 1+1+1+1+...................= A VERY BIG THING.
Personal development/ maendeleo ya mtu binafs ni muhimu kwa taifa. individual hakishindwa kutambua potential ambayo yupo nayo ningumu sana taifa kuendelea.
Kumbuka kweny individuals ndo tunatoa watu wenye kulisaidia taifa katka ukusanyaji WA mapato yanayo saidia ujenz wa maendeleo ya taifa. Tunayo mifano hai bwana Saidi baharesa n mmoja wetu alitumia potential yake back at the days na leo kupitia makampuni yake anachangia zaid ya 5% kwenye kodi ya nchi pia the same story kutoka kwa wengine ni the same Mfano figure zinazojulikana MENGI na wengine wengi katka industry tofauti tofauti
Rudi soma nilichoandika...nimeweka point tatu mhimu katika mtiririko wa umhimu wake. Hakuna mtu ataenda kujenga hospitali vijijini, hakuna mtu ataenda kupeleka vitabu mashuleni, hakuna mtu atabadili mtaala uendane na matakwa ya jamii, hakuna mtu ataweza kuweka vipaumbele kwenye matumizi ya raslimali za taifa, hakuna mtu anaweza kuleta sera nzuri za uwekezaji kama sio POINT NAMBA MOJA KWANZA. Uzaifu wetu uko kwenye namba moja. Next time soma chambua elewa ndo ujibu
 
ni maendeleo ila yamechukua miaka mingapi umesema?
Maendeleo ni nini? Nyumbani kwangu kijijini miaka 30 iliyopita kulikuwa nyumba za tofali zinahesabika; leo hii kila boma kwa uchache kuna nyumba moja na umeme. Ninakoishi mjini mtaani kwetu miaka 17 iliyopita familiz zenye magari zilikuwa zinahesabika leo karibu kila nyumba ina gari......maendeleo kwako ni nini? Vibanda vya kuuza mkaa mitaani vinafutika badala yake kuna vibanda vyakuuza gesi......kwako maendeleo ni nini?........miji mingi ukitafuta shell zenye mafuta ya taa utazunguka sana maana hiyo nishati haitumiki tena .....kwako maendeleo ni nini? Leo kila familia inalia upatikanaji wa wasichana wa kazi za ndani umekuwa mgumu unajua ni kwa sababu watoto karibu wote wa nchi wako shule?....hayo siyo maendeleo ni nini?
 
Hili ni swali gumu sana lenye majibu mepesi.
Moja:
Uongozi Safi (Best leadership). Nchi hii hata ingejaa dhahabu kiasi gani bila uongozi imara kupiga hatua ni ndoto za mchana. Wakati wengi wenu mkikimbilia nchi za Asia, uarabuni na kwingineko tambueni tu nchi hizo at one point in time tulikuwa tuko Sawa ni terms of level of development.
Mbili:
Strong institution. Hapa ni kuwa lazima tuwe na Katiba imara, mhimili wa mahakama usioingiliwa hata na taasisi zingine na wenye nguvu ya kumshitaki hata raisi ikifanya fyongo.
Tatu:
Kazi na elimu. Watu wafanye kazi na kuwe na tuzalishe wataalamu wengi kwa maana ya kuwa na strong and knowledgeable human resource base.
Mengine ni kama ziada tu.
Kukosa Namba moja mengine yote sahauni.
Conclusion: Wale mnaopiga kelele kuwa Tanzania itaendelea kuwa kama ulaya kwa kasi sijui ya awamu gani basi yafaa mujihoji..
Wito. Tufanye mabinduzi ya kiuongozi sio lazima CCM itoke madarakani bali tubadili wanaotuongoza kuwa na sifa ya kuliletea Taifa maendeleo. Pia tunaweza itoa mana ni sisi tumeiweka
CCM ikiwa madarakani.hatutoboi
 
Rudi soma nilichoandika...nimeweka point tatu mhimu katika mtiririko wa umhimu wake. Hakuna mtu ataenda kujenga hospitali vijijini, hakuna mtu ataenda kupeleka vitabu mashuleni, hakuna mtu atabadili mtaala uendane na matakwa ya jamii, hakuna mtu ataweza kuweka vipaumbele kwenye matumizi ya raslimali za taifa, hakuna mtu anaweza kuleta sera nzuri za uwekezaji kama sio POINT NAMBA MOJA KWANZA. Uzaifu wetu uko kwenye namba moja. Next time soma chambua elewa ndo ujibu
we ndo hujaelewa nimeandika nn ..
 
wenzetu wa rangi nyingine wanaendelea kwa sababu wamewekeza heavily kwenye strong leadership ndio maana system zao za uongozi wapo watu very smart wanaojua nini wanachopaswa kufanya sio km huku kwetu ukiwa mpiga tarumbeta wa kumsifia mkuu wa nchi kesho yake unapigwa uwaziri....kwa wenzetu mpaka upate cheo ni lazima uonyeshe kuwa unastahili hakuna mbeleko, ni africa pekee utakuta waziri wa biashara hajawahi kuuza hta pipi toka azaliwe kitu ambacho kwa wenzetu huwezi kukikuta hta siku moja
 
Maendeleo ni nini? Nyumbani kwangu kijijini miaka 30 iliyopita kulikuwa nyumba za tofali zinahesabika; leo hii kila boma kwa uchache kuna nyumba moja na umeme. Ninakoishi mjini mtaani kwetu miaka 17 iliyopita familiz zenye magari zilikuwa zinahesabika leo karibu kila nyumba ina gari......maendeleo kwako ni nini? Vibanda vya kuuza mkaa mitaani vinafutika badala yake kuna vibanda vyakuuza gesi......kwako maendeleo ni nini?........miji mingi ukitafuta shell zenye mafuta ya taa utazunguka sana maana hiyo nishati haitumiki tena .....kwako maendeleo ni nini? Leo kila familia inalia upatikanaji wa wasichana wa kazi za ndani umekuwa mgumu unajua ni kwa sababu watoto karibu wote wa nchi wako shule?....hayo siyo maendeleo ni nini?
Aisee cha ajabu Taifa lina watu wenye upeo kama wako na wengine wameaminiwa kabisa kupata nafasi nyeti ili Nchi iendelee...unajiamini kabisa na kuandika hayo madudu...
 
Aisee cha ajabu Taifa lina watu wenye upeo kama wako na wengine wameaminiwa kabisa kupata nafasi nyeti ili Nchi iendelee...unajiamini kabisa na kuandika hayo madudu...
Kwa hiyo nchi haina maendeleo yoyote? hata wewe kuweza kuwasiliana kwa key board bila kujuana siyo maendeleo?
 
Back
Top Bottom