Swali la msingi jamani!

Swali la msingi jamani!

julius mahinya

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
1,152
Reaction score
384
Kabla ya ndoa jiulize kwa nini umempenda? kwa nini anakupenda?
Ukitaka kucheka muulize mwenzako hivi kwa nini unanipenda? utacheka sana, utasikia nakupenda ulivyo, mwingine ukimuuliza ivi yule ulimpendea nini utasikia hela, mapenzi (je kwani mlifanya ndio ukamkubali= huu ni uongo ukijibiwa hivi jiangalie sana siyo bichwa hilo).
Mimi nadhani jamani jitahidi uwe na sababu za msingi za kuingia kwenye ndoa na mtu! ukiulizwa kwa nini si fulani, kwa nini awe huyu uwe na majibu sahihi na yanayo kubalika nje na hapo ndoa zitasalitiwa sana, tutaachana sana na tutadondoshana sana!
watu wengi walioachana, wanaojutia ndoa,......... hawakuwa na majibu sahihi ya hili swali! Akikufuata mtu muulize kwa nini unakupenda sababu atakazotoa zipime na wewe mwenyewe sio unaambiwa sura yako tu mtu sura mbovu unabaki una-simile, be smart na majibu ya mtu wa aina hii!!!! kwani hujioni kwenye kioo na picha huna yaani mtu anakudanganya unacheka? akupe sababu za msingi sikatai wapo watu hiyo ni sababu but iwe kweli!
 
Nidanganye, danganye, danganye tu, ukiwa mkweli mi taumia.....,
 
Mkuu hebu tupe sababu za wewe kumpenda huyo uliye nae. Zipo sababu nyingi za kumpenda mtu kwa wanaoishi jirani wengine hupenda tabia ya mtu . Lkn kwa waliokutana mahali flani akikwambia kapendezwa na tabia yako huyo ni muongo jiulize kaijua lini tabia yako. Umenichekesha baadhi ya sababu kweli yakupasa nawe ujiulize na ujijue ulivyo.
 
Kwako wewe, sababu sahihi ni zipi mkuu??

zipo nyingi ila kweli awe amemaanisha anachosema, kweli unaweza kuwa mzuri wa sura lakini nadhani ni kigezo cha ziada! tabia ni kigezo kikuu lakini nayo huwezi kuigeneralize hivyo! anatakiwa aonyeshe sehemu ipi ya tabia yako amependa pia ana uhakika gani ni tabia yako maana mwingine hata hakufahamu kakuona tu labda kazini oh nakupenda jamani kweli!!!!!!
 
Ha ha ha ha mie nimempenda baadae sana afu sasa hivi nampenda sana sijui kanipa nini nashindwa kuelewa jamani. Ila mwanzoni nilikuwa kama najilazimisha vile.
 
Back
Top Bottom