mbona simple tu, kamuone daktari akufunge pop ya mkono hapo wiki nzima
Mwambie una tatizo la ghafura akupe siku 4 ukaclear sup hyo!
He he he...nipm namba yako ya simu kesho nikupigie ukiwa ofisini nikutaarifu kuwa mama amezidiwa ghafla amelazwa hivyo unahitajika haraka nyumbani.
mbona simple tu, kamuone daktari akufunge pop ya mkono hapo wiki nzima
Duhh point zinatiririka ile mbaya yaani wabongo noma!tufanye ya mguu kisha apewe gongo la kutembelea.