Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
- Thread starter
- #41
Hii si hatari?Lakini mi naona hawakumtendea haki kwa sababu alikuwa na ndoa,au hakuwa na makaratasi?Bishanga hii nimeshuhudia ya mkaka kutembea hadi kuoa nyumba mmoja.. Dada mtu alikua si exposed kama mdogo wake... hivyo mdogo alivyoingia (tena kwa vitimbi) ndo alikua ana control mali zoote pamoja na huyo baba... Bahati mbaya huyo baba na mke mkubwa amefariki kwa maradhi mwaka juzi (walipishana miezi 3)... Mdogo alinyang'anywa kila kitu na wato wa mke mkubwa/dadake maana yeye (mdogo) hakuzaa - unajua tena wadada wa siku hizi na mambo ya usasa...