Swali la kizushi kwa wanawake

Swali la kizushi kwa wanawake

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
26,008
Reaction score
28,342
Katika wapendanao kuna kipindi mahusiano hukatika kwa njia mbalimbali kwa kuachana au kugombana hadi mmoja wao kulalamika kuwa amepotezewa muda na hili hasahasa wanawake ndo huwa na malalamiko kuwa mwenzie kampotezea muda.

Swali: Je ungekuwa haupo kwenye hayo mahusiano huo mda unaosema umepotezewa ungelikuwa umefanya nini?
 
Wakati anafuatwa na mtu alisema ninaye mtu ambaye ndiyo wewe.Kumbe wewe nawe hukuwa na malengo nae ndiyo umempotezea muda angejaribu kwengine labda angejenga uhusiano wa kudumu.
 
Wakati anafuatwa na mtu alisema ninaye mtu ambaye ndiyo wewe.Kumbe wewe nawe hukuwa na malengo nae ndiyo umempotezea muda angejaribu kwengine labda angejenga uhusiano wa kudumu.


Kwanini nao wanakubali kufuatwa?
 
Katika wapendanao kuna kipindi mahusiano hukatika kwa njia mbalimbali kwa kuachana au kugombana hadi mmoja wao kulalamika kuwa amepotezewa muda na hili hasahasa wanawake ndo huwa na malalamiko kuwa mwenzie kampotezea muda swali ni je?ungekuwa haupo kwenye hayo mahusiano huo mda unaosema umepotezewa ungelikuwa umefanya nini?
Apige tu-pushapu,abinuke sarakasi,acheze wushu,apige vigelegele lakini mwisho "ATUBU"!
 
Labda wangekuwa na uhusiano na Wanaume wasiowapotezea muda na walio na malengo nao.

Labda wangekuwa wanafanya ujasiriamali.

Kila mmoja angekuwa anapambana na hali yake kwa namna yake.

Who knows ?
 
Akili zao wanazijua wenyewe.

Utasikia ooh umenichezea ndio unaniacha, utadhani wakati tunagegedana anakua kafungwa kamba mikononi na miguuni!!
 
Heshimuni uumbaji wa Mungu n all blames mnatakiwa mumpe yeye nat us.we can't change anything. Ata vitabu vya Mungu vinatueleza vizuri juu ya ustrong and udhaifu wetu.cjui mnaposhindwa kuelewa ni wapi.kazi kulalama na kututusi......wanaume wazamani hawakua hi yo.
Afu suala la kutujumuisha wote its not fair.je si tukifanya mjumuisho mtajisikiaje??like wanaume wote are the same,yani mikuyange nao siku hizi wanatumia.
 
Hivi nyie mnaotuita wadudu au nusu akili na mama zenu huwa mnawaona hivyo hivyo.kwamba ni wadudu na pia hawana akili?
anapozunguzwa mwanamke ni mwanamke tu,haijalishi mama,dada au shangazi!

Kuwa ni mama zetu hakuondoi udhaifu wao!
 
Back
Top Bottom