Swali la kipimajoto ITV leo hii

Swali la kipimajoto ITV leo hii

Jospina

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,421
Reaction score
1,395
swali la kipimajoto itv :"wanaowapa hifadhi wahalifu wa aina mbalimbali.je washughulikiwe kama magaidi"?
 
Hahahhaaa huo ugomvi sasa ila haya maswali ya ITV haya

Last two weeks waliuliza lile swali la Mahausigeli kugeuzwa Nyumba ndogo na Madingi, Dah nilikua na nimekaa na My wife wangu na watoto aaaghhrr nilifadhaika sana aiseee. haya maswali haya basi tu
 
hahahhaaa huo ugomvi sasa ila haya maswali ya itv haya

last two weeks waliuliza lile swali la mahausigeli kugeuzwa nyumba ndogo na madingi, dah nilikua na nimekaa na my wife wangu na watoto aaaghhrr nilifadhaika sana aiseee. Haya maswali haya basi tu

hahahaaaaha ndo maswali hayo sasa
 
swali la kipimajoto itv :"wanaowapa hifadhi wahalifu wa aina mbalimbali, Je washughulikiwe kama magaidi"?

Wakiwa Waislamu; washughulikiwe kama 'Magaidi', ila kama sio itatosha tu kuwaita Wahalifu na kuwashughulikia softly!
 
Hayo maswali sijui huwa anatunga nani?
 
kwani magaidi wanashughulikiwa kivipi isije ikawa huwa wanapewa silaha ili waendelee na ugaidi
 
Wakiwa Waislamu; washughulikiwe kama 'Magaidi', ila kama sio itatosha tu kuwaita Wahalifu na kuwashughulikia softly!

kawaida magaidi wote ni makapi ya kiarabu.Hivyo washughilikiwe .......we si unaona ponda alivyo mdogo
 
hivi sheria ya anayekutwa na madawa ya kulevya kwamba auwawe, imepitishwa
 
Wakiwa Waislamu; washughulikiwe kama 'Magaidi', ila kama sio itatosha tu kuwaita Wahalifu na kuwashughulikia softly!

Al shabab, ISI, Boko haram ni wa dini gani kama sikosei ni wakristo???????????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Itv Tv Ya Wachaga, wamasai Na Chadema..(tusitafutane Jameni)
 
Wakiwa Waislamu; washughulikiwe kama 'Magaidi', ila kama sio itatosha tu kuwaita Wahalifu na kuwashughulikia softly!

kila kitu lazima lazima uhusishe uislamu ?

Jibu langu: hapana! Nafikiri si kila mhalifu anakuwa gaidi, ila kama kuna vigezo vinaangaliwa na mhalifu amekidhi vigezo hvyo haina shaka kuitwa gaini.
 
Back
Top Bottom