Swali la kinadharia tete kwa makamanda

Swali la kinadharia tete kwa makamanda

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,155
Reaction score
137,166
Makamanda...people's......

Itikieni basi...au siyo?

Haya, hebu tuache masikhara sasa na tujadili mambo ya maana.

Najua mna hamu sana ya kuja kushika dola siku moja.

Ila kuna jambo moja linanitatiza. Mara kwa mara sasa nimekuwa nikiwasoma humu mkishangaa inakuwaje mtu aliyemuunga mkono Magufuli kwenye uchaguzi wa 2015 naye anaisoma namba.

Hivi nyie mnatakaje kwani? Kisa tu mtu alimuunga mkono Magufuli ndo iwe udhuru wa yeye kutokuisoma namba kama kavunja sheria?

Diallo yalipomkuta mlisema hivyo hivyo..kuwa eti yeye alikuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Magufuli. Sasa huyu sijui Ali Mafuruki naye yamemkuta mnasema hivyo hivyo.

Hivi nyie, siku mtapokuja kushika dola mtakuwa mnaangalia nani ni kamanda na nani si kamanda katika kutekeleza sheria?

Hamtawashughulikia waliowaunga mkono na kuwashughulikia ambao hawakuwaunga mkono?

Nyie watu kushika dola bado sana kama akili zenu ziko hivyo.
 
Sasa weye mwenyewe uwabashirie mambo, mara ujiapize wao kutoshika dola huku unaumizwa na jamaa kudurusishwa namba kwa umakini. Hapo ueleweke, unataka kuandika nini hasa?
 
Makamanda...people's......

Itikieni basi...au siyo?

Haya, hebu tuache masikhara sasa na tujadili mambo ya maana.

Najua mna hamu sana ya kuja kushika dola siku moja.

Ila kuna jambo moja linanitatiza. Mara kwa mara sasa nimekuwa nikiwasoma humu mkishangaa inakuwaje mtu aliyemuunga mkono Magufuli kwenye uchaguzi wa 2015 naye anaisoma namba.

Hivi nyie mnatakaje kwani? Kisa tu mtu alimuunga mkono Magufuli ndo iwe udhuru wa yeye kutokuisoma namba kama kavunja sheria?

Diallo yalipomkuta mlisema hivyo hivyo..kuwa eti yeye alikuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Magufuli. Sasa huyu sijui Ali Mafuruki naye yamemkuta mnasema hivyo hivyo.

Hivi nyie, siku mtapokuja kushika dola mtakuwa mnaangalia nani ni kamanda na nani si kamanda katika kutekeleza sheria?

Hamtawashughulikia waliowaunga mkono na kuwashughulikia ambao hawakuwaunga mkono?

Nyie watu kushika dola bado sana kama akili zenu ziko hivyo.
umeongea ukweli
 
Makamanda...people's......

Itikieni basi...au siyo?

Haya, hebu tuache masikhara sasa na tujadili mambo ya maana.

Najua mna hamu sana ya kuja kushika dola siku moja.

Ila kuna jambo moja linanitatiza. Mara kwa mara sasa nimekuwa nikiwasoma humu mkishangaa inakuwaje mtu aliyemuunga mkono Magufuli kwenye uchaguzi wa 2015 naye anaisoma namba.

Hivi nyie mnatakaje kwani? Kisa tu mtu alimuunga mkono Magufuli ndo iwe udhuru wa yeye kutokuisoma namba kama kavunja sheria?

Diallo yalipomkuta mlisema hivyo hivyo..kuwa eti yeye alikuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Magufuli. Sasa huyu sijui Ali Mafuruki naye yamemkuta mnasema hivyo hivyo.

Hivi nyie, siku mtapokuja kushika dola mtakuwa mnaangalia nani ni kamanda na nani si kamanda katika kutekeleza sheria?

Hamtawashughulikia waliowaunga mkono na kuwashughulikia ambao hawakuwaunga mkono?

Nyie watu kushika dola bado sana kama akili zenu ziko hivyo.

Mshika dola yuko busy kuwashughulikia wabaya wake.Awapendao hata wafanye jinai hao ni wala nasikia.Sijui unaionaje hii
 
Sasa weye mwenyewe uwabashirie mambo, mara ujiapize wao kutoshika dola huku unaumizwa na jamaa kudurusishwa namba kwa umakini. Hapo ueleweke, unataka kuandika nini hasa?
Teh teh teh

Hebu rudia kusoma ulichoandika.
 
Makamanda...people's......

Itikieni basi...au siyo?

Haya, hebu tuache masikhara sasa na tujadili mambo ya maana.

Najua mna hamu sana ya kuja kushika dola siku moja.

Ila kuna jambo moja linanitatiza. Mara kwa mara sasa nimekuwa nikiwasoma humu mkishangaa inakuwaje mtu aliyemuunga mkono Magufuli kwenye uchaguzi wa 2015 naye anaisoma namba.

Hivi nyie mnatakaje kwani? Kisa tu mtu alimuunga mkono Magufuli ndo iwe udhuru wa yeye kutokuisoma namba kama kavunja sheria?

Diallo yalipomkuta mlisema hivyo hivyo..kuwa eti yeye alikuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Magufuli. Sasa huyu sijui Ali Mafuruki naye yamemkuta mnasema hivyo hivyo.

Hivi nyie, siku mtapokuja kushika dola mtakuwa mnaangalia nani ni kamanda na nani si kamanda katika kutekeleza sheria?

Hamtawashughulikia waliowaunga mkono na kuwashughulikia ambao hawakuwaunga mkono?

Nyie watu kushika dola bado sana kama akili zenu ziko hivyo.
Mshumbusi hajambo?!!! Bado unamtumikia huko ughaibuni?!
 
Makamanda...people's......

Itikieni basi...au siyo?

Haya, hebu tuache masikhara sasa na tujadili mambo ya maana.

Najua mna hamu sana ya kuja kushika dola siku moja.

Ila kuna jambo moja linanitatiza. Mara kwa mara sasa nimekuwa nikiwasoma humu mkishangaa inakuwaje mtu aliyemuunga mkono Magufuli kwenye uchaguzi wa 2015 naye anaisoma namba.

Hivi nyie mnatakaje kwani? Kisa tu mtu alimuunga mkono Magufuli ndo iwe udhuru wa yeye kutokuisoma namba kama kavunja sheria?

Diallo yalipomkuta mlisema hivyo hivyo..kuwa eti yeye alikuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Magufuli. Sasa huyu sijui Ali Mafuruki naye yamemkuta mnasema hivyo hivyo.

Hivi nyie, siku mtapokuja kushika dola mtakuwa mnaangalia nani ni kamanda na nani si kamanda katika kutekeleza sheria?

Hamtawashughulikia waliowaunga mkono na kuwashughulikia ambao hawakuwaunga mkono?

Nyie watu kushika dola bado sana kama akili zenu ziko hivyo.
Wewe bana,hata huyo Nyerere kuna makamanda alikuwa hawagusi itakuwa the small matter of Chadema
 
Makamanda...people's......

Itikieni basi...au siyo?

Haya, hebu tuache masikhara sasa na tujadili mambo ya maana.

Najua mna hamu sana ya kuja kushika dola siku moja.

Ila kuna jambo moja linanitatiza. Mara kwa mara sasa nimekuwa nikiwasoma humu mkishangaa inakuwaje mtu aliyemuunga mkono Magufuli kwenye uchaguzi wa 2015 naye anaisoma namba.

Hivi nyie mnatakaje kwani? Kisa tu mtu alimuunga mkono Magufuli ndo iwe udhuru wa yeye kutokuisoma namba kama kavunja sheria?

Diallo yalipomkuta mlisema hivyo hivyo..kuwa eti yeye alikuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Magufuli. Sasa huyu sijui Ali Mafuruki naye yamemkuta mnasema hivyo hivyo.

Hivi nyie, siku mtapokuja kushika dola mtakuwa mnaangalia nani ni kamanda na nani si kamanda katika kutekeleza sheria?

Hamtawashughulikia waliowaunga mkono na kuwashughulikia ambao hawakuwaunga mkono?

Nyie watu kushika dola bado sana kama akili zenu ziko hivyo.
Hawajui kwamba kila regime inatengeneza matajiri wake na kuondoa wale waliopo achana nao hao makamanda
 
Teh teh teh

Hebu rudia kusoma ulichoandika.
Ina maana hujui ulichoandika? Kwamba hao CHADEMA wagekuwa wanaongoza serikali wangewaacha wakwepa kodi au wezi? Maana ulichozungukazunguka kuunda swali, jibu lake unalo. Laa sivyo, unataka kuwawekea maneno mdomoni kwa njia za kufikirika "... ngeli ngeli ngeli..."!
 
Makamanda...people's......

Itikieni basi...au siyo?

Haya, hebu tuache masikhara sasa na tujadili mambo ya maana.

Najua mna hamu sana ya kuja kushika dola siku moja.

Ila kuna jambo moja linanitatiza. Mara kwa mara sasa nimekuwa nikiwasoma humu mkishangaa inakuwaje mtu aliyemuunga mkono Magufuli kwenye uchaguzi wa 2015 naye anaisoma namba.

Hivi nyie mnatakaje kwani? Kisa tu mtu alimuunga mkono Magufuli ndo iwe udhuru wa yeye kutokuisoma namba kama kavunja sheria?

Diallo yalipomkuta mlisema hivyo hivyo..kuwa eti yeye alikuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Magufuli. Sasa huyu sijui Ali Mafuruki naye yamemkuta mnasema hivyo hivyo.

Hivi nyie, siku mtapokuja kushika dola mtakuwa mnaangalia nani ni kamanda na nani si kamanda katika kutekeleza sheria?

Hamtawashughulikia waliowaunga mkono na kuwashughulikia ambao hawakuwaunga mkono?

Nyie watu kushika dola bado sana kama akili zenu ziko hivyo.
Unaongea kwa kujiamini Kama ulieshiba vizuri na account Inasoma zero zaidi ya 6.

Ila Nina uhakika yakikukuta, utachagua na mada za kuweka humu.

Wako walioshangilia mpaka pale maghorofa yao yalipovunjwa bila amri ya mahakama wakabaki hoehahe ndipo wakakaa kimya.
Nikupe mfano Huyo Nape alijivuna Sana. Wahenga walisema "Karma is a bitch."

Namba inaleta mantiki ikiwa sheria zinafuatwa. Na sio vinginevyo. Kama umelichagua jitu ambalo halifuati sheria na linakandamiza kila MTU. Wanayo haki ya kushangilia anguko lako. Ili iwe funzo kwa wengine. Naff said
 
Wewe bana,hata huyo Nyerere kuna makamanda alikuwa hawagusi itakuwa the small matter of Chadema
Akili za kikamanda bana!

Sasa kama Nyerere makosa ya Nyerere ndo yanahalalisha makosa ya CHADEMA?
 
Siku Mkapa alipowaita WAPUMBAVU NA MALOFA hakukosea kabisa mwingine akawaita Nyumbu na walivyo wapumbavu wakachapisha Tshirt zimeandika MALOFA KATIKA UBORA WETU so usiwashangae hao ni wapumbavu kweli kweli akili zimeshikwa na mtu mmoja tu
 
Ina maana hujui ulichoandika? Kwamba hao CHADEMA wagekuwa wanaongoza serikali wangewaacha wakwepa kodi au wezi? Maana ulichozungukazunguka kuunda swali, jibu lake unalo. Laa sivyo, unataka kuwawekea maneno mdomoni kwa njia za kufikirika "... ngeli ngeli ngeli..."!
Unaelewa maana ya 'swali la kinadharia tete' kweli wewe?

Typical kamanda....dumb as a bucket of rocks!!!
 
Ama kweli duniani kuna watu!
Hebu tuambie Diallo alilipa sh ngapi?
TRA hawajatupa jibu hadi leo walilipwa sh ngapi haya tuambie wewe unaejua tulilipwa sh ngapi? Au ilikuwa club raha leo shoo kama kawaida yenu?
kawadanganye haohao unaowajua wewe.
Mtu ashindwe kulipa mishahara aweze kulipa mabilion ya kodi? Magu alikuwa amesahau!wenzie wakamkumbusha hizo studio zikiuzwa kwa kujifanya fundi kuvunja vyungu 2020 atalia kwenye vigae,akaufyata.
Hakuna kilicho lipwa mbwembwe tu.
 
Makamanda...people's......

Itikieni basi...au siyo?

Haya, hebu tuache masikhara sasa na tujadili mambo ya maana.

Najua mna hamu sana ya kuja kushika dola siku moja.

Ila kuna jambo moja linanitatiza. Mara kwa mara sasa nimekuwa nikiwasoma humu mkishangaa inakuwaje mtu aliyemuunga mkono Magufuli kwenye uchaguzi wa 2015 naye anaisoma namba.

Hivi nyie mnatakaje kwani? Kisa tu mtu alimuunga mkono Magufuli ndo iwe udhuru wa yeye kutokuisoma namba kama kavunja sheria?

Diallo yalipomkuta mlisema hivyo hivyo..kuwa eti yeye alikuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Magufuli. Sasa huyu sijui Ali Mafuruki naye yamemkuta mnasema hivyo hivyo.

Hivi nyie, siku mtapokuja kushika dola mtakuwa mnaangalia nani ni kamanda na nani si kamanda katika kutekeleza sheria?

Hamtawashughulikia waliowaunga mkono na kuwashughulikia ambao hawakuwaunga mkono?

Nyie watu kushika dola bado sana kama akili zenu ziko hivyo.
Haa haa haaa! Nina uhakika hawana jibu!
 
Back
Top Bottom