kanchibay
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 672
- 687
Habari wakuu, polen kwa mihangaiko ya kutwa nzima,,
Hivi mfano siku ya harusi kabisa bibi harusi ikatokea akapigwa kofi kali/zito kwenye process ya kulishana keki baada ya kumtisha tishabwana harusi then ghafla bwana harusi akakasirika na kumzaba kibao bib harusi mbele ya umati nikipi hasa ewe mdada wa kiTanzania unaweza kufanya??
Uzi tayari hivyo,
nawasilisha mada na kuwakariibisha wachangiaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mfano siku ya harusi kabisa bibi harusi ikatokea akapigwa kofi kali/zito kwenye process ya kulishana keki baada ya kumtisha tishabwana harusi then ghafla bwana harusi akakasirika na kumzaba kibao bib harusi mbele ya umati nikipi hasa ewe mdada wa kiTanzania unaweza kufanya??
Uzi tayari hivyo,
nawasilisha mada na kuwakariibisha wachangiaji
Sent using Jamii Forums mobile app