gfesto
JF-Expert Member
- Nov 6, 2013
- 653
- 146
Hivi mbona kumekuwa na maneno mengi ya kejeli na kashfa kwa Rais ambae tulimchagua wenyewe? Akifanya uteuzi wa mawaziri, utasikia kachemka, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa nk. yote kachemka. Ziara zote nje ya nchi nazo mnasema hazina manufaa kwa nchi, akicheka, Rais gani anachekacheka.
Aliowateua wakifanya ubadhilifu tu, Rais gani yuko kimya. Ina maana hatukuwa makini katika maamuzi? Na je, mmejipangaje awamu hii? Nawasilisha kwenu tafadhali.
Aliowateua wakifanya ubadhilifu tu, Rais gani yuko kimya. Ina maana hatukuwa makini katika maamuzi? Na je, mmejipangaje awamu hii? Nawasilisha kwenu tafadhali.