sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
Nimeona swali langu liwafikie kwa njia hii maana nashindwa kufika mnakotangazia nia ama nikifika sipewi nafasi kwakuwa mimi siyo mwandishi wa habari. Swali langu ni hili:
''je una mikakati gani ya kuleta usawa unaokaribiana wa kimaslahi baina ya watumishi wa umma ili walimu na madaktari wapate mishahara mikubwa kuliko watumishi wote kwakuwa ni idara isiyo na marupurupu?"
Hivi juzi DC wa Kinondoni ametangaza kutoa 75% ya mshahara wake kumapa mawakili wawasaidie wanaodhulumiwa viwanja. Hii ni dhahiri kuwa kuna watumishi wananeemeka kiasi kwamba allowance walizonazo mishahara kwao siyo kitu cha muhimu huku watumishi wengine wakitegemea tu mshahara kiduchu hata kwa mwezi hauwatoshi. Nina imani litajibiwa na kutekelezwa.
''je una mikakati gani ya kuleta usawa unaokaribiana wa kimaslahi baina ya watumishi wa umma ili walimu na madaktari wapate mishahara mikubwa kuliko watumishi wote kwakuwa ni idara isiyo na marupurupu?"
Hivi juzi DC wa Kinondoni ametangaza kutoa 75% ya mshahara wake kumapa mawakili wawasaidie wanaodhulumiwa viwanja. Hii ni dhahiri kuwa kuna watumishi wananeemeka kiasi kwamba allowance walizonazo mishahara kwao siyo kitu cha muhimu huku watumishi wengine wakitegemea tu mshahara kiduchu hata kwa mwezi hauwatoshi. Nina imani litajibiwa na kutekelezwa.