Jitindejangongwa
Member
- Jan 17, 2013
- 28
- 3
Uko na mpenzi wako na mnapendana sana na ikafikia hatua mkaoana na mnaishi pamoja ila wote kila mmoja kwa wakati wake ana mpenzi wa kando (siri yake).
siku moja kwa bahati mbaya kila mtu akiwa na mpenzi wake wa kando mnakuna koridoni katika nyumba ya kulala wageni! ndo kwanza mnaingia kuzini! pale nani anamakosa? na kama wewe ni mwanamke utachukua hatua gani na ukiwa mwanaume utachukua hatua gani?
siku moja kwa bahati mbaya kila mtu akiwa na mpenzi wake wa kando mnakuna koridoni katika nyumba ya kulala wageni! ndo kwanza mnaingia kuzini! pale nani anamakosa? na kama wewe ni mwanamke utachukua hatua gani na ukiwa mwanaume utachukua hatua gani?