Swali kwa wanawake wote hapa...

Swali kwa wanawake wote hapa...

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,914
Hebu fikiria umesoma hadi umemaliza Elimu ya chuo

Ukakutana na jamaa mmoja ambae mnaanzisha uhusiano

Baada ya kuanzisha mahusiano na huyu jamaa ulifanikiwa kupata ajira na maisha yenu ya mahusiano yaliendelea vyema sana

Lakini baada ya miezi 6 ulipata maradhi ambayo yalipelekea kukuweka kitandani kwa mwaka mzima na huyu jamaa alikuwa bega kwa bega na wewe na alitumia kila uwezo wake kukutibu na ilifikia hadi alikupeleka South Africa kwaajili ya matibabu,baada ya huo mwaka ulipona

Lakini kutokana na ugonjwa uliokuwa nao ilikubidi ukae nyumbani kwa mwaka mwingine ili urudishe afya yako iliyokuwa imeporomoka kwa sababu ya ugonjwa

Baada ya huo mwaka wa kurudisha afya jamaa yako akakuomba usianze kutafuta kazi kwanza ili mpate muda wa kukaa pamoja na zaidi sana mfanye mipango ya kufunga ndoa,ukakubali

Mlifanikiwa kufunga ndoa na kwa muda wote wa huo mwaka na nusu mlikaa kwa amani na furaha na hakuna ulichokuwa unakihitaji kutoka kwa mumeo ambacho alikuwa na uwezo nacho ulikikosa,kwa kifupi uliifurahia ndoa sana tena sana

Baada ya muda huo ulimuambia kuwa ni wakati wa wewe kujishughulisha

Hapo ndipo anakuomba kuwa huna haja ya kutafuta kazi kwani kila unachokihitaji unakipata

Je ingekuwa ni wewe ndio mke wa huyo jamaa ungeamua nini na kwanini?

Karibu .................!!
 
Mbona inatukuta wengi sana,unajitia mbishi unaambiwa sasa mimi nataka kuona utafanya nini..basi tena unakaa.lakini mimi nalaani sana hii tabia ya kutuambia kwamba kila kitu unapata una shida gani?kwani kwetu kuna kitu nilikuwa nakosa?basi tu tushajitumbukiza kwenye ndoa.inabidi mmoja awe chini tukijifanya wote wafalme mambo yatakuwa si mambo...
 
ningeamua kua mpole
huku nikimbmbeleza taratiiibu aniruhusu nifanye kazi..na faida za sisi wote kufanya kazi
am sure with time,angenielewa tu na angeniruhusu
mtu kama huyo hutakiwi kumkera kabisa
 
ningeamua kua mpole
huku nikimbmbeleza taratiiibu aniruhusu nifanye kazi..na faida za sisi wote kufanya kazi
Kwanini unataka kufanya kazi kwenye mazingira hayo?
am sure with time,angenielewa tu na angeniruhusu
Angekuelewa nini?
Unadhani huyo hajui anachokifanya?
mtu kama huyo hutakiwi kumkera kabisa
Ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kwani mna jema nyie?
 
Mbona inatukuta wengi sana,unajitia mbishi unaambiwa sasa mimi nataka kuona utafanya nini..basi tena unakaa.lakini mimi nalaani sana hii tabia ya kutuambia kwamba kila kitu unapata una shida gani?kwani kwetu kuna kitu nilikuwa nakosa?basi tu tushajitumbukiza kwenye ndoa.inabidi mmoja awe chini tukijifanya wote wafalme mambo yatakuwa si mambo...

Hivi wewe unajua ndoa ni kitu gani?
Unajua umuhimu wa ndoa ni tofauti kwa mwanamke na mwanaume?

Unajua ndoa kwa mwanamke inakuwa na mambo mangapi na faida gani?
Una uhakika kwenu kulikuwa hakuna kilichokuwa kinakosekana??
 
Kwa kweli mie kukaa home kumtegemea mwanaume kungenishinda.

Sawa ana uwezo wa kunipa mahitaji yote but what if anything happens to him?
 
Uuupsi first ningeimba aleluya kuu kwa sauti zote mwenyw kumshukuru Mungu kunipa mume wa ivyo..

kukaa home idle sio fine what abt future??
Life is not only today tutazaa na kuna ishu za responsibility as a woman jaman..ningemwambia baba watoto in polite way anifungulie bsness hata mradi wa kuku tu ili akil yangu ipate challenge na pia siku akipatwa na tatizo la ugonjwa o kukosa kazi nami niweze kumsaidia thats love lol&####
 
Ningemwomba tu kama hataki nikaajiliwe basi anifungulie biashara..

Mana mfano mzuri ni mim mwenyewe mkewe ambaye niliumwa na je ikitokea nae akaumwa kama mim nitaweza kumhudumia kama sitakuwa na kipato..?..kwahiyo aniache nikafanye kazi kwa faida yetu wote ili ikitokea mmoja ameshindwa basi mwingine asimamie show nzima..
 
Kwa kweli mie kukaa home kumtegemea mwanaume kungenishinda.

Sawa ana uwezo wa kunipa mahitaji yote but what if anything happens to him?

Nilipoiona tu commet yako kuna kiungo kilistuka kidogo
Hebu bashiri ni kiungo gani hicho??


Back to tpic
Kwanini kumtegemea mume inakuwa shida??
Kitu gani hicho unakihofia kutokea?
Vipi kama kisipotokea??
Halafu si una elimu??
 
Uuupsi first ningeimba aleluya kuu kwa sauti zote mwenyw kumshukuru Mungu kunipa mume wa ivyo..
Hii sawa
kukaa home idle sio fine what abt future??
Future ni nini?
Life is not only today tutazaa na kuna ishu za responsibility as a woman jaman..ningemwambia baba watoto in polite way anifungulie bsness hata mradi wa kuku tu ili akil yangu ipate challenge na pia siku akipatwa na tatizo la ugonjwa o kukosa kazi nami niweze kumsaidia thats love lol&####
Kulea wana ni challenge tosha kwa mwanamke anaejua umuhimu wa kulea na hatua za malezi
Kwanini uone kufanya kazi ndio kutakuwa ni salama ya baadae??
 
Ningemwomba tu kama hataki nikaajiliwe basi anifungulie biashara..

Mana mfano mzuri ni mim mwenyewe mkewe ambaye niliumwa na je ikitokea nae akaumwa kama mim nitaweza kumhudumia kama sitakuwa na kipato..?..kwahiyo aniache nikafanye kazi kwa faida yetu wote ili ikitokea mmoja ameshindwa basi mwingine asimamie show nzima..

Asipoumwa??
 
Back
Top Bottom