Mke akijifungua na wewe ukawa umejiweka kwenye hali ya uzazi yaani kumlea mtoto kwa pamoja toka akiwa mchanga maana yake akilia usiku na wewe uamke kumnyamazisha na kujumlisha na majukumu ya mchana kutwa mwili utachoka tu hilo wazo litakosa nguvu kuliko ukawa hauko bize basi akili yote huamia kichwa cha chiniWanaume mliooa mke mmoja ikifikia wake zenu wamejifungua au wana ugonjwa wa muda mrefu na wito wa asili wa kufanya tendo landoa ukija mnafanyaje?
Aisee tena akijifungua na hamu inakata kabisa, enzi zangu alivyojifungua nilikaa kama.miezi sita sijapiga wala kuulizia, kutokana na uchanga ktk.maswala ya kifamilia nilikuwa nikijiuliza hivi naanzaje kumgegeda mtu aliyejifungua??Wanaume mliooa mke mmoja ikifikia wake zenu wamejifungua au wana ugonjwa wa muda mrefu na wito wa asili wa kufanya tendo landoa ukija mnafanyaje?
umejibu vyema nenda kwa sanga shop kachukue bumunda.Mke akijifungua na wewe ukawa umejiweka kwenye hali ya uzazi yaani kumlea mtoto kwa pamoja toka akiwa mchanga maana yake akilia usiku na wewe uamke kumnyamazisha na kujumlisha na majukumu ya mchana kutwa mwili utachoka tu hilo wazo litakosa nguvu kuliko ukawa hauko bize basi akili yote huamia kichwa cha chini
Bumunda bila kinywajiii haulitakii mema koo langu hahahaha, vijana wanasukumwa kuingia kwenye ndoa for the sake of kitumbua mengine wanasahau kama yapo wakiyakuta wanaanza kuhahaumejibu vyema nenda kwa sanga shop kachukue bumunda.
Malezi ni ya umoja yanaongeza ashiki za kuwa na ukaribu na mwenza wako. ukiwa busy na malezi huwezi kuwa na wazo la mchepuko. maana kile kilio cha mtoto huwa kinakata stimu ya mambo mengi sana.
Wanaume mliooa mke mmoja ikifikia wake zenu wamejifungua au wana ugonjwa wa muda mrefu na wito wa asili wa kufanya tendo landoa ukija mnafanyaje?
Ewaaaaa....Furaha ya kupata mtoto, malezi ya mwanzo ya mama na kichanga, excitement uliyonayo vyote hivyo vinakufanya uache kuwaza ngono for a while.
Sidhani kama mtu huwezi kuvumilia mwezi hadi miwili, tunatakiwa kutawala hisia zetu, sio hisia zitutawale.
Asante mkuu umejibu kisomi na siku zote watu huzani kua kukaa mwezi mmoja bila kusex nijambo laajabu sana lakini sio ajabu hata aliyepost hii ana mwaka hajui mwanamke ila anashangaa mwezi wakati wengine hata kama wake zetu hawaumwi wala hawana shida tunakaa hadi mwezi bila kusex coz maisha ya ndoa sio sex tuFuraha ya kupata mtoto, malezi ya mwanzo ya mama na kichanga, excitement uliyonayo vyote hivyo vinakufanya uache kuwaza ngono for a while.
Sidhani kama mtu huwezi kuvumilia mwezi hadi miwili, tunatakiwa kutawala hisia zetu, sio hisia zitutawale.
Imeandikwa "hatutaishi kwa sex tu"Wanaume mliooa mke mmoja ikifikia wake zenu wamejifungua au wana ugonjwa wa muda mrefu na wito wa asili wa kufanya tendo landoa ukija mnafanyaje?