mhh heshima apimwi kiivo lakin weng wao wansemaivo et ahh yule wa kupelekwa gest ...ahh uyu nampeleka geto...but mi idnt believe t anaweza akakupeleka gest na akakuheshimu na akaupeleka home kumbe anakugusa once na anakumwaga....
heshima inakuja badayeeeeeeeeeeeee baada ya kukusoma na akajua msimamowako na tabia zako then ndo utampatiket ya yeye kukudharau au kukuheshimu
eep: