Swali kwa wanaume ila wadada pia mnaruhusiwa kuchangia

mhh heshima apimwi kiivo lakin weng wao wansemaivo et ahh yule wa kupelekwa gest ...ahh uyu nampeleka geto...but mi idnt believe t anaweza akakupeleka gest na akakuheshimu na akaupeleka home kumbe anakugusa once na anakumwaga....

heshima inakuja badayeeeeeeeeeeeee baada ya kukusoma na akajua msimamowako na tabia zako then ndo utampatiket ya yeye kukudharau au kukuheshimu:peep:

rose za kupotea?
 
hakuna heshima wala nini, tena ndo uliwa bila hata kununuliwa soda,

utaishia kunywa maji ya kunywa yaliopo kwenye friji,
 
Kufanya sex nje ya ando ni ukosefu wa adabu, hata mimi huwa sina adabu sometimes :cool2:
 
hii ni kweli kabisa moja ya wanaume ya wasio waaminifu au wanaoogopa commitment ni kutompeleka mwanamke sehemu wanayoishi...hata mi nilikuwa na lijamaa flani hivi basi akawa ananizengua sana kunipeleka maskani kwake..tulispend atleast more than six month tunahang' kwenye mabeach tu lakini lenyewe linakuja kwangu na linaenjoy sana kuja maskani..mwisho wa siku nikaanza kumpotezea taratiibu nayeye akasepa..kumbe lilikuwa na mwanamke mwingine!daah mpaka leo niko makini!
 
hii ni kweli kabisa moja ya wanaume ya wasio waaminifu au wanaoogopa commitment ni kutompeleka mwanamke sehemu wanayoishi...hata mi nilikuwa na lijamaa flani hivi basi akawa ananizengua sana kunipeleka maskani kwake..tulispend atleast more than six month tunahang' kwenye mabeach tu lakini lenyewe linakuja kwangu na linaenjoy sana kuja maskani..mwisho wa siku nikaanza kumpotezea taratiibu nayeye akasepa..kumbe lilikuwa na mwanamke mwingine!daah mpaka leo niko makini!

Hiyo inaitwa kitonga line.....kula bure, kulala bure, ku do bure...............ukijaamka zamaaani na big G ipo stage ya kutemwa ndo maana ulipojijua tu ye huyooo lainiii ana close chapter na kuanza kuandika book report

Wake up Girls heshima ya mwanamke anayo mwenyewe..........so protect yours
 
hii ni kweli kabisa moja ya wanaume ya wasio waaminifu au wanaoogopa commitment ni kutompeleka mwanamke sehemu wanayoishi...hata mi nilikuwa na lijamaa flani hivi basi akawa ananizengua sana kunipeleka maskani kwake..tulispend atleast more than six month tunahang' kwenye mabeach tu lakini lenyewe linakuja kwangu na linaenjoy sana kuja maskani..mwisho wa siku nikaanza kumpotezea taratiibu nayeye akasepa..kumbe lilikuwa na mwanamke mwingine!daah mpaka leo niko makini!

Duuuuh!Hii nayo kiboko!
 
Unaweza kupelekwa home kumbe mwenzio anakwepa gharama za hoteli. Tena mkifika home atajipinda apike. Khaa! Wanaume si watu.
 
Hivi nyie wadada wa hivyo ni nani aliyewaloga?
Wewe umetongozwa na mkataba wa mahusiano ukausaini. Badala ya kukisoma vizuri kipengele kinachohusu maadili na heshima kabla hujasaini unakurupuka 2 unasign...sasa mmeshakubaliana kwenda kuongeza idadi ya wazinzi na waasherati(regardless ya venue lengo halisi ni kuongeza idadi ya watu wanaomuudhi Mungu)
--Really u want heshima now?
hujamheshimu Mungu
hujaheshimu wazazi waliokuzaa na wakakukuza kwenye maadili mema
hujaheshimu jamii iliyohangaika kukusomesha na kumwaga fedha nyingi tunazokatwa kodi kwenye mishahara ili kupigana na maambukizi ya ukimwi na kuzuia ngono zembe...

Yani ukifanywa (mahali popote hata kama ni kanisani) na hujaolewa- you are an idiot kama unafikiria kuheshimiwa..
Kwi kwi kwi kwi.......mbavu zangu.......Uzi huu umenipa asubuhi njema.........kumbe kuliwa mzigo siku hizi ni 'kuwa idiot? Kwa hiyo NA kuchinja ni kuwa idiot?
Olala so my good friend bishanga abashaija you are an idiot,damn you bishanga,stop this kuchinja especially kuchinjia vichakani,gotcha?
 
Back
Top Bottom