Swali kwa wanaotaka UKAWA warudi bungeni

Swali kwa wanaotaka UKAWA warudi bungeni

Naona unahani nyumba isiyofiwa mi sijaongelea mambo ya serikali mbili hapa

mada inayo jadiliwa ni hiyo hapo,
"Kuna watu watu wengi wamekuwa wakisema UKAWA warudi kujadili serikali 2 kisha wananchi wataamua. swali kwao ni kwa nini hao walio bungeni wasikubali kujadili serikali 3 zilizopendekezwa na wananchi halafu wakati wa kupiga kura ukifika wananchi waamue wenyewe? kwani hao wanaokomaa ikajadiliwe serikali 2 wanaogopa nini kujadili serikali 3 halafu wananchi waamue?"
 
Back
Top Bottom