Swali kwa wanaoihusudu CCM?


Mi kweli watatizo yapo nchi nyingi je umesikia nchi hizo mafisadi na wabadhirifu wanaombwa waache wizi wa mali ya umma? Ambapo Rais anadai anayo orodha ya wezi wa mali ya umma huku hachukui hatua yoyote badala yake ni kupanga tu safari za nje ya nchi?
 
CCM ilikuwepo na itaendelea kuwepo daima.
"Kidumu chama cha Mapinduzi"
 
Hauwezi kulinganisha utawala wa gaddaf na CCM hata siku moja, labda uangalie haya machache aliyokuwa akiyafanya Gaddaf je CCM wanayafanya?
1.Elimu ilikuwa inatolewa Bure
2. Huduma za afya Bure
3.Kila mama anaejifungua alikuwa anasaidiwa fedha.
4.Kila mwananchi alikuwa na akaunti bank na waliwekewa kiasi cha fedha kutoka katika mauzo ya Mafuta
5.Bei ya mafuta alikuwa anapanga yeye.
6.Kijana akitaka kuoa alijengewa nyumba baada ya kuoa.
7.Huduma ya umeme na maji ilikuwa Bure.
8.Kwa mwananchi aliyeamua kuwa mkulima alipewa ardhi bure pamoja na kuwezeshwa kila kitu kitakachomsaidia ikiwemo na matrekta Bure.

** Je kwa CCM ni kipi kati ya hivyo hapo juu wamewafanyia Watanzania? **
 
Na mpaka kesho huyu Babu ana kadi ya ccm...
CCM ni kama maji, usipo yanywa utaogea, au utanawia tu...

Unaposhabikia kuwa Dr.Slaa ana kadi ya CCM umesoma katiba ya CCM inazungumziaje juu ya hilo? Je Dr. Ni mwanachama wa CCM kikatiba? au ni kuwa ameihifadhi hiyo kadi kama kumbukumbu tu. Pia kumbuka vijana wote wa sekondari miaka ya 90 kurudi nyuma tulikuwa tunalazimishwa kununua kadi za umoja wa vijana wa CCM kwa hiyo kwa akili zako wote tulionazo hizi kadi ni wanachama wa UVCCM
 

Kwanini usiturudishie??? Kila kukicha watu wanarudisha na kupewa kadi. Yaani we mzee ni mtu mzima na kichwani
hapako vizuri??? Umeshastaafu?
 
Kwanini usiturudishie??? Kila kukicha watu wanarudisha na kupewa kadi. Yaani we mzee ni mtu mzima na kichwani
hapako vizuri??? Umeshastaafu?

By kibogo

Unaposhabikia kuwa Dr.Slaa ana kadi ya CCM umesoma katiba ya CCM inazungumziaje juu ya hilo? Je Dr. Ni mwanachama wa CCM kikatiba? au ni kuwa ameihifadhi hiyo kadi kama kumbukumbu tu. Pia kumbuka vijana wote wa sekondari miaka ya 90 kurudi nyuma tulikuwa tunalazimishwa kununua kadi za umoja wa vijana wa CCM kwa hiyo kwa akili zako wote tulionazo hizi kadi ni wanachama wa UVCCM

Acha kuleta POROJO naomba unipe majibu kutoka katika maswali yangu hapo kwenye RED na BLUE
 
wengi wametoka CCM...baada ya kuona kuna ubabaishaji, upendeleo(kama sio mtoto wa kiongozi ni vigumu kupanda juu)....slaa katoka ccm baada ya kuona udhalimu na unafki mkubwa ccm

slaa katoka ccm baada ya kushindwa kura za maoni za kugombea ubunge jimbo la karatu, slaa ni mroho sana wa madaraka, chadema wakimtoa kwenye ukatibu mkuu atahamia hata cuf
 

tueleze cdm wamefanya kipi tangu miaka 20 ama watafanya kipi? Hayo maswali ya kipuuzi waulize kina lema na sugu!
 
Nyinyi Ccm Mbona Mimi Sikuzungumzia CHADEMA ALAFU MNATOKWA MAPOVU. TURUDI NJIA KUU ACHENI KUJIDHALILISHA. KAMA MADA NI WOKOVU BASI TUJADILI WOKOVU NA SI MARA UANZE KUWAZA KUIBA MARA KUBAKA MARA KUIBA PEMBE ZA NDOVU MARA MADAWA YA KULEVYA. CCM ENDELEENI KUWADANGANYA MNAOWABEBA KWA MALORI KUTOKA VIJIJI HUKU NINYI MNATEMBELEA MA NISSAN ILA NAAMINI SIKU ZIMEBAKI CHACHE WATAELIMIKA.KISIDUMU CHAMA CHA MAFISADI
 
nadhani dr slaa humfahamu vizuri,,kiufupi ni miongoni mwa watu safi waliobaki kama hazina kwa taifa letu

ni mkristo safi sio mtu safi......tukimpa urais dunia nzima itatushangaa....kwa nnchi hii imeishiwa na wsomi.......ikulu hakika itakuwa PAROKIA.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…