Swali kwa wanaoihusudu CCM?

Swali kwa wanaoihusudu CCM?

ASCUDA T

Senior Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
120
Reaction score
33
Nawauliza Ninyi Mnaosimama Na Kuipenda Ccm Maswali Yafuatayo. Hv Ni Kweli Mpo Kwa Maslahi Ya Kitaifa Au Mnachumia Matumbo? Hv Mnaridhia Wizi Wa Pembe Za Ndovu Unaofanywa Na Viongozi Wenu?

Je Mnapenda Uchumi Unavyoporomoka? Je Mnahuruma Na Vizazi Vya Sasa Na Baadae? Je Mnaridhika Jinsi Ccm Wanavyotumia Pesa Nyingi Kuua Upinzani?

Je Mnapenda Kuona Watoto Wenu Wanasoma Shule Bora Huku Watoto Wengi Wa Kimaskini Wakisoma Shule Za Kata Zisizo Na Walimu Wa Kutosha No Madawati No Maabara?

Je Mliridhika Kuona Wazee Wa East Africa Wakipigwa Mabomu Wakidai Haki Zao? Je Mnasikia Raha Mkichakachua Katiba Huku Imetumia Pesa Nyingi Za Nchi? Je Kama Nyerere Angefufuka Leo Mngamueleza Haya Aliwachia Muyaenzi?

Je Mnapenda Utajiri Mkubwa Wa Kutisha Huku Watanzania Hawana Maji Safi Umeme Juu? Mnafurahia Watoto Wenu Pekee Kufanya Kazi Benki Kuu Na Wizara Nyeti Huku Watoto Wa Maskini Wanaishia Ualimu?

Je Mnafurahi Kuona Ombaomba Wanaongezeka Wakiwa Na Watoto Wanaomba Huku Mkimuohonga Zitto Kodi Za Watanzania? Fisi Na Utumbo Wake.
 
Nawauliza Ninyi Mnaosimama Na Kuipenda Ccm Maswali Yafuatayo. Hv Ni Kweli Mpo Kwa Maslahi Ya Kitaifa Au Mnachumia Matumbo? Hv Mnaridhia Wizi Wa Pembe Za Ndovu Unaofanywa Na Viongozi Wenu? Je Mnapenda Uchumi Unavyoporomoka? Je Mnahuruma Na Vizazi Vya Sasa Na Baadae? Je Mnaridhika Jinsi Ccm Wanavyotumia Pesa Nyingi Kuua Upinzani? Je Mnapenda Kuona Watoto Wenu Wanasoma Shule Bora Huku Watoto Wengi Wa Kimaskini Wakisoma Shule Za Kata Zisizo Na Walimu Wa Kutosha No Madawati No Maabara? Je Mliridhika Kuona Wazee Wa East Africa Wakipigwa Mabomu Wakidai Haki Zao? Je Mnasikia Raha Mkichakachua Katiba Huku Imetumia Pesa Nyingi Za Nchi? Je Kama Nyerere Angefufuka Leo Mngamueleza Haya Aliwachia Muyaenzi? Je Mnapenda Utajiri Mkubwa Wa Kutisha Huku Watanzania Hawana Maji Safi Umeme Juu? Mnafurahia Watoto Wenu Pekee Kufanya Kazi Benki Kuu Na Wizara Nyeti Huku Watoto Wa Maskini Wanaishia Ualimu? Je Mnafurahi Kuona Ombaomba Wanaongezeka Wakiwa Na Watoto Wanaomba Huku Mkimuohonga Zitto Kodi Za Watanzania? Fisi Na Utumbo Wake.

Leo naona umeamua kuja kivingine wewe MDUBAI? ehe tuambie unaona chama kipi kinafaa kuwa mbadala wa CCM?
 
Nawauliza Ninyi Mnaosimama Na Kuipenda Ccm Maswali Yafuatayo. Hv Ni Kweli Mpo Kwa Maslahi Ya Kitaifa Au Mnachumia Matumbo? Hv Mnaridhia Wizi Wa Pembe Za Ndovu Unaofanywa Na Viongozi Wenu? Je Mnapenda Uchumi Unavyoporomoka? Je Mnahuruma Na Vizazi Vya Sasa Na Baadae? Je Mnaridhika Jinsi Ccm Wanavyotumia Pesa Nyingi Kuua Upinzani? Je Mnapenda Kuona Watoto Wenu Wanasoma Shule Bora Huku Watoto Wengi Wa Kimaskini Wakisoma Shule Za Kata Zisizo Na Walimu Wa Kutosha No Madawati No Maabara? Je Mliridhika Kuona Wazee Wa East Africa Wakipigwa Mabomu Wakidai Haki Zao? Je Mnasikia Raha Mkichakachua Katiba Huku Imetumia Pesa Nyingi Za Nchi? Je Kama Nyerere Angefufuka Leo Mngamueleza Haya Aliwachia Muyaenzi? Je Mnapenda Utajiri Mkubwa Wa Kutisha Huku Watanzania Hawana Maji Safi Umeme Juu? Mnafurahia Watoto Wenu Pekee Kufanya Kazi Benki Kuu Na Wizara Nyeti Huku Watoto Wa Maskini Wanaishia Ualimu? Je Mnafurahi Kuona Ombaomba Wanaongezeka Wakiwa Na Watoto Wanaomba Huku Mkimuohonga Zitto Kodi Za Watanzania? Fisi Na Utumbo Wake.

Hata Mataifa yaliyoendelea tumesikia mara kadhaa viongozi wakitumiwa kwa rushwa, matumizi mabaya ya ofisi, kudorora kwa uchumi. n.k. Kwa hiyo mkuu serikali yoyoye inayoongozwa na Binadamu ina mapungufu yake. Hauwezi kuwahukumu wanaoipenda CCM kwa kuangalia matatizo ambayo ni ya kawaida kwa binadamu. Hii ni hoja mfu kuliko zote nilizowahi kuona humu Jf. Eti unauliza swali wanaoihusudu CCM wakati wewe ukiulizwa unakihusudu chama kipi na kwa nini , sidhani kama una jibu kwa vile hakuna hata kimoja zaidi ya CCM kilichothubutu kuongoza serikali hata kwa sekunde tukaona kama viongozi wake wakuwa kama IDD AMIN aliyekuwa akimpenda mke wa mtu anachukua bila hata uoga, kama viongozi wake hawataishia kusaliti ndoa zao na kwenda DUBAI sasa tena mchana kweupe na kusahau kuwa wako kwa ajili ya kuwatumikia watanzania, kama viongozi wake hawatakuwa wa vurugu na kero kibao kwa watanzania.

Mkuu waache watanzania wajivunie chama chao, chama chenye kuwaleta pamoja badala ya kuwagawa kwa mtindo wa umajimbo, ukabila na udini.

Unaweza kuona hayo ni matatizo yaliyosababishwa na CCM kama ambavyo walibya walivyolewa amani, utajiri na kumuona Ghadaffi hafai tena kwa musukumo wa wabaya wa LIBYA, leo hii wanatamani bila mafanikio afufuke mzee wa watu angalau awaonjeshe analau ule utamu waliokuwa nao enzi za uhai wake.
 
Wanao isaport CCM wengi ni watu wanaotaka maisha ya haraka haraka....wasiotaka kufanya kazi...kijana aliosoma vzr akaelimika akapata kazi yake kwa halali hawezi isupport CCM kamwe
 
8: تكلمني متى م فضيت ؟ ارد عليك متى م بغيت..
 
Picha tafadhali

Maisha bora_Elimu3.jpg View attachment 140346 Maisha bora_Elimu2.jpg Maisha bora_4.jpg View attachment 140349 View attachment 140350
 
Labda tu kwakukusaidia mleta mada nikwamba hao Ccm ya akina Wasila na Mwiguru wakimuona Nyerere anafufuka wanamuongeza na nyundo yakichwa afe tena maana sio watu hao bora hata wanyama wakali
 
Leo naona umeamua kuja kivingine wewe MDUBAI? ehe tuambie unaona chama kipi kinafaa kuwa mbadala wa CCM?

1.Chama kisichopenda kabisa madawa ya kulevya iwe biashara na kiburudisho kwa vijana. 2. Chama ambacho hakitahurumia wezi kwa kuwasamehe na kuamlisha warudishe walivyo iba. 3. Chama kinachotambua walala hoi hasa wakulima. 3. Chama kinachoamini kuwa ndani ya miaka 52 ya uongozi kwa nchi yenye rasilimali nyingi maisha ni bora mara sana kuliko yalivyo sasa. 4. Chama ambacho kitawajali vijana watz kwa usawa ktk elimu, matibabu, ajira na fursa sawa ktk siasa. 5. Chama kitakachoweka uwazi ktk uendeshaji. 6. Chama kitakachojali wazee. 7. Chama kitakacho ruhusu uhuru wa mawazo. 8. Chama kitakuwa na sheria za kulinda wananchi na sio maslahi ya chama na viongozi wake. 9. Chama tambuzi kwa watumishi, wanabiashara, wakulima, wastafu aina zote, walemavu. 10. Chama kisichochea udini, ukabila, ukanda, hali ya kuelemika kuliko wengine. 11. Kujua tumechelewa tunahitaji kukimbia. Ni cdm.
 
Wanao isaport CCM wengi ni watu wanaotaka maisha ya haraka haraka....wasiotaka kufanya kazi...kijana aliosoma vzr akaelimika akapata kazi yake kwa halali hawezi isupport CCM kamwe

sasa hapa kinyume chake,una habari kuwa CHADEMA wengi wametoka CCM baada ya juhudi za kusaka maisha ya haraka haraka kushindikana, mfano SLAA aliyeingia CHADEMA baada ya kushindwa kura za maoni?
 
1.Chama kisichopenda kabisa madawa ya kulevya iwe biashara na kiburudisho kwa vijana. 2. Chama ambacho hakitahurumia wezi kwa kuwasamehe na kuamlisha warudishe walivyo iba. 3. Chama kinachotambua walala hoi hasa wakulima. 3. Chama kinachoamini kuwa ndani ya miaka 52 ya uongozi kwa nchi yenye rasilimali nyingi maisha ni bora mara sana kuliko yalivyo sasa. 4. Chama ambacho kitawajali vijana watz kwa usawa ktk elimu, matibabu, ajira na fursa sawa ktk siasa. 5. Chama kitakachoweka uwazi ktk uendeshaji. 6. Chama kitakachojali wazee. 7. Chama kitakacho ruhusu uhuru wa mawazo. 8. Chama kitakuwa na sheria za kulinda wananchi na sio maslahi ya chama na viongozi wake. 9. Chama tambuzi kwa watumishi, wanabiashara, wakulima, wastafu aina zote, walemavu. 10. Chama kisichochea udini, ukabila, ukanda, hali ya kuelemika kuliko wengine. 11. Kujua tumechelewa tunahitaji kukimbia. Ni cdm.

Nendeni mkawaruhusu kwanza ZITTO na KITILA MKMBO watoe mawazo yao ndipo mrudi kuwarubni wananchi. Viongozi wenu waache biashara ya SODOMA na GOMORA kule DUBAI na kwingineko ndipo mje kwa wanachi, bila hivyo imekula kwenu. Mkubali ufisadi wa Kukataa kukaguliwa mahesabu ukaguliwe na CAG ndipo mrudi kwa wananchi, Muondoe mshahara wa mil 12 kwa SLAA bila kazi. Uzeni jumba la kifahari la SLAA kule mbezi beach kwa vile ni kodi za wananchi zile haipendezi hivyo hasa ukizingatia kuwa chama bado ni kichanga , hakina miradi kamailivyo CCM.
 
Wanaosapoti ccm ni wale wanaotaka mafanikio ya haraka kama V Kamata
 
Labda tu kwakukusaidia mleta mada nikwamba hao Ccm ya akina Wasila na Mwiguru wakimuona Nyerere anafufuka wanamuongeza na nyundo yakichwa afe tena maana sio watu hao bora hata wanyama wakali
Nyerere akifufuka wa kwanza kujificha ni viongozi wa CCM ambao wanauvunja Muungano kwa sababu tu uchu wa madaraka.
 
Back
Top Bottom