Swali kwa wana ndoa tu

Ukifanya hivyo hakika atatokwa jasho na aweza hata kusababisha ajali msifike nyumbani...! Mental torture hiyo..!

Hahahaha!! Sasa ajali ya nini wakati yupo na kitulizo chake, kwanza mimi naona bado tu ananithamini kanipa hela ya tax kwenda na kurud, hakuniacha nipalamie daladala, still loving me no means of fighting, yaani naweza nisimuulize vile vile hata tukifika nyumbani.
 
Simkomeshi jamani si yupo na GF wake sasa mimi mgeni nitasema nini,na tukifika home naweza nisimuulize vilevile.

Uko sahihi, wanaume wengi hutoa visababu kwa wake zao wanapohitaji huduma. Kwa michepuko wapole kweli. Ukimfumania kama hivyo atafanya kila utakachomwambia!
 
Easier said than done...!

Ni kweli ni rahisi kusema lakini inategemeana na wewe mwenyewe umejitune vipi, mimi kiukweli ninapokuwa nimeumizwa huwa sina la kufanya zaidi ya kuwa mpole, huwa sifanyi maamuzi nikiwa na hasira au nimeumizwa naweza Fanya kitu mbaya sana ,siku zote huwa hivyo, ila nikiwa cool ajiandae kesi ya kujibu.......
 
Uko sahihi, wanaume wengi hutoa visababu kwa wake zao wanapohitaji huduma. Kwa michepuko wapole kweli. Ukimfumania kama hivyo atafanya kila utakachomwambia!

Hakuna adhabu mbaya hapa duniani kama mtu akutese kisaikolojia, bora mtu akupige akujeruhi hasira zake zitaisha kuliko mtu wa kukaa kimya...... Na nikimwona ana haha ndo nazidisha upendo zaidi simuonyeshi ubaya wowote, abaki ajiulize mwenyewe nafsi yake
 
Hahahaha!! Sasa ajali ya nini wakati yupo na kitulizo chake, kwanza mimi naona bado tu ananithamini kanipa hela ya tax kwenda na kurud, hakuniacha nipalamie daladala, still loving me no means of fighting, yaani naweza nisimuulize vile vile hata tukifika nyumbani.


Kwa hiyo utaona bado anakujali kwa kukupa nauli ya taxi? Na kwa maana hiyo hasira zitapungua ama?
 
ningetulia tuli hadi nifike nyumbani ndio ningejua huo mziki niucheze style gani
honey faith pokea like yangu kuanzisha timbwili barabarani haifai utaonekana busara chache na kudhalilika zaidi kwa sababu watu watajua mume wako asivyokuthamini lakini pia kasha kudhalilisha kwa mchepuko ni kutulia tu hadi home ndiyo unacheza utakavyo uwanja wa nyumbani tena lazima pachimbike.
 
Back
Top Bottom