Swali kwa wana ndoa tu

Swali kwa wana ndoa tu

Huyo dada hana kosa
Ningemsalimia mume kama boyfriend wa rafiki yangu mpya.
 
I just imagine watu mna usafiri lakini third party ndio anafaidi matunda ya kazi yenu, wewe kama mke unaiona gari lakini huenjoy kitu..

Eli
Hakuna kitu kinauma kama umehangaika miaka au muda mrefu kupata kitu halafu mtu anakuja tu na yule uliyehangaika nae anasahau yote na kumpa like its nothing.

Mmetembea kwa miguu na bajaji halafu leo mnapata kagari mume ndo anajua kumbe kuna mwingine anastahili gari At times ndio maana sishangai wanawake wanaokua after money na sio mtu kama mtu,

haikupi guarantee ya happiness or loyalty.Wengi wamepitia hii situation ila Mungu alivyo wa ajabu asilimia kubwa huwa havidumu.
 
Ningekaa kimya nyumbani ningemwambia mume wangu mbona unafanya mambo hayo?Ningepiga maombi ya nguvu na kuvunja tamaa ya mwili wake
 
Kama mwanaume sina cha kufanya zaidi kwa sababu yashatokea. Ni kukaa kimya mpaka mmoja atakapolianzisha.
 
Kuna wanaume wapu.mbavu sana..!
kila mtu anaweza kufanya hivyo kwanza jamaa shupavu kampa mkewe hela ya taxi kosa liko wapi,kama kuchepuk wengi tunachepuka sioni kosa lake zaidi ya kumuonea huruma tu
 
Mke alimuomba mume ampe lifti mpaka kwenye sherehe ( kitchen party, mume akasema yuko busy Nafikiri hili swali linawahusu wanandoa ambao mume anachepuka badala ya wanandoa wote.

Namshauri huyo mke awe mtulivu kwenye gari, aombe kushushwa kwanza nyumbani halafu mumewe aendelee na shughuli za ofisini kwake. Wakati mume anaendelea na shughuli za ofisini kwake yeye anafunga mizgo yake na kwenda kuanza maisha mapya sehemu nyingine!!
 
Nafikiri hili swali linawahusu wanandoa ambao mume anachepuka badala ya wanandoa wote. Namshauri huyo mke awe mtulivu kwenye gari, aombe kushushwa kwanza nyumbani halafu mumewe aendelee na shughuli za ofisini kwake. Wakati mume anaendelea na shughuli za ofisini kwake yeye anafunga mizgo yake na kwenda kuanza maisha mapya sehemu nyingine!!

Kipande cha ushauri hiki kwake sawa, tuchukulie imekutokea wewe ingekuwaje?
 
Kumbuka hukuwa na miadi na wife wako bali umemfuata gf!

nafahau hilo. maelezo ni kwamba shughuli zimepungua nikaamua kumpa suprise. hapo hapo ningemtania "naona umeamua kuketi kiti cha nyuma" .
 
nafahau hilo. maelezo ni kwamba shughuli zimepungua nikaamua kumpa suprise. hapo hapo ningemtania "naona umeamua kuketi kiti cha nyuma" .

Well said mkuu.
 
Hahahaha!! Sasa ajali ya nini wakati yupo na kitulizo chake, kwanza mimi naona bado tu ananithamini kanipa hela ya tax kwenda na kurud, hakuniacha nipalamie daladala, still loving me no means of fighting, yaani naweza nisimuulize vile vile hata tukifika nyumbani.

Utampa kidude....😀
 
Hapo kweli utakuwa umebanwa, ila na wewe kama ulijua mkeo anaenda Kitchen party kwanini usimuulize anaenda maeneo yapi ili ujue kabisa
 
Style ya madogoli ya kizaramo ingekuwa poa zaidi maana mtaa mzima ungejua siku hiyo kwa mrembo Honey Faith leo kuna shughuli nzito sana.

Ningetulia tuli hadi nifike nyumbani ndio ningejua huo mziki niucheze style gani
 
.....acha tu!, unbelievable!, sintashaa kama hii inatokea kweli!

Wanaume with this kind of thinking kama wewe ni wachache sana kwetu!

Cc MK254

Hehehehe!! Hilo haliwezi kunikuta mimi kui siku zote mwanaume kamili, kama lazima uwe na "mpango wa kando" (tunavyowaita hapa Kenya), basi hakikisha malkia wako nyumbani anaishi maisha ya umalkia.

Halafu hakuna jinsi naweza enda kwenye hafla ya kijamii na demu wa pembeni, hizo ndio baadhi ya haki za mke ambazo hazifai kuguzwa. Tatizo vijana wa siku hizi wamejiweka kwenye mambo haya bila kuelewa sheria na vigezo vya mchezo na kutuharibia C.V.

CC: kadoda11
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hehehehe!! Hilo haliwezi kunikuta mimi kui siku zote mwanaume kamili, kama lazima uwe na "mpango wa kando" (tunavyowaita hapa Kenya), basi hakikisha malkia wako nyumbani anaishi maisha ya umalkia.

Halafu hakuna jinsi naweza enda kwenye hafla ya kijamii na demu wa pembeni, hizo ndio baadhi ya haki za mke ambazo hazifai kuguzwa. Tatizo vijana wa siku hizi wamejiweka kwenye mambo haya bila kuelewa sheria na vigezo vya mchezo na kutuharibia C.V.

CC: kadoda11

Hapo kwenye "mpango wa kando " umenikumbusha mbali sana. Jirani yetu enzi zile alipenda sana kutumia hilo neno anapokuwa ametoka kwenye stuli ndefu.
 
Back
Top Bottom