ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,376
- 118,785
Sasa mtani nafanyaje mfano hapo??? em nipe maujanja
Unachosema ni sahihi kabisa, tatizo linakuja katika utekelezaji wake tu. Kwanza ni busara kutofanya vurugu mbele za watu, lakini swali ni je utaweza kuvumilia hadi mfike nyumbani?