Swali kwa wana ndoa tu

Swali kwa wana ndoa tu

Sasa mtani nafanyaje mfano hapo??? em nipe maujanja


Unachosema ni sahihi kabisa, tatizo linakuja katika utekelezaji wake tu. Kwanza ni busara kutofanya vurugu mbele za watu, lakini swali ni je utaweza kuvumilia hadi mfike nyumbani?
 
Eli79 nafurahi unavo waweka sawa waume wenzio, safi sana.....lol!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo utaona bado anakujali kwa kukupa nauli ya taxi? Na kwa maana hiyo hasira zitapungua ama?

Kiukweli wakati huo nitakuwa mpole tu ila tukifika nyumbani tutaongea kwa kituo.
 
Mh!, mshindo gani tena?!,...labda nme furahi tu kukuona je?!


😁😁 Kama umefurahi kuniona ni furaha yangu miss kui, nami pia nafurahi. "mshindo mwingi" kwa maana ya "kicheko kina maana kubwa"..
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: kui
Eli79 nafurahi unavo waweka sawa waume wenzio, safi sana.....lol!


I just imagine watu mna usafiri lakini third party ndio anafaidi matunda ya kazi yenu, wewe kama mke unaiona gari lakini huenjoy kitu..
 
Last edited by a moderator:
MIMI NINGEMPITISHA MCHEPUKO KWAO THEN NINGEENDA NA MKE WANGU NYUMBANI NA KUMUOMBA MSAMAHA TU.japo yataka moyo unaweza likimbia gari lako
 
Unachosema ni sahihi kabisa, tatizo linakuja katika utekelezaji wake tu. Kwanza ni busara kutofanya vurugu mbele za watu, lakini swali ni je utaweza kuvumilia hadi mfike nyumbani?

najiuliza nani atakayeanza kupelekwa nyumbani ni mke au mchepuko isiwe anapelekwa mke anaingia ndani afu mume anarudi na mchepuko aiseeee mtani hili suala gumu
 
I just imagine watu mna usafiri lakini third party ndio anafaidi matunda ya kazi yenu, wewe kama mke unaiona gari lakini huenjoy kitu..

.....acha tu!, unbelievable!, sintashaa kama hii inatokea kweli!

Wanaume with this kind of thinking kama wewe ni wachache sana kwetu!

Cc MK254
 
Mimi ningewaambia hebu shuken kwanza narekebisha gar kidgo...wakishuka naondoa gar speed kinoma hadi nyumban kwangu,wife akija najikausha kabisa kuwa siyo mimi na akiuliza ninammind aache wenge....ni afadhal nife na tai shingon kuliko kukiri maana nae atachepuka
 
simple. mi ningemuuliza wife "sasa huyu rafiki yako anaelekea wapi"?
ningejifanya ile introduction ya kwanza sijaisikia. jibu la wife ndio lingeamua nseme nini.
 
Mimi ningewaambia hebu shuken kwanza narekebisha gar kidgo...wakishuka naondoa gar speed kinoma hadi nyumban kwangu,wife akija najikausha kabisa kuwa siyo mimi na akiuliza ninammind aache wenge....ni afadhal nife na tai shingon kuliko kukiri maana nae atachepuka

Duu umetisha mkuu!
 
simple. mi ningemuuliza wife "sasa huyu rafiki yako anaelekea wapi"?
ningejifanya ile introduction ya kwanza sijaisikia. jibu la wife ndio lingeamua nseme nini.

Kumbuka hukuwa na miadi na wife wako bali umemfuata gf!
 
Back
Top Bottom