Ndivyo ilivyokuwa 1980 Sokoine aliomba kupumzika.Hata hivyo Maliya naye aliula mara mbiliKwanini Hayati Sokoine,alipewa uwaziri mkuu kutoka 1977-1980 kabla ya Cleopa D.Msuya kuwa waziri mkuu na baadae Sokoine kurudishwa katika kiti hicho cha uwaziri mkuu?