Swali kwa tume ya uchaguzi

Swali kwa tume ya uchaguzi

Mkombozi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2008
Posts
844
Reaction score
476
Nimesikia vyombo vya habari kuwa mmehairisha au kusogeza mbele kampeni.Zilikuwa zianze 22/8/2015,mmehairika mpaka tarehe isiyojulikana.Sababu mlizotoa ni mlipuko wa kipindupindu wilaya ya Kinondoni yaani kwa mkuu wa wilaya mchapakazi Mr Makonda.Sasa Tanzania ina mikoa mingi sana.Kwa nini muhaitishe kampeni nchi nzima wakati kipindupindu ni Kinondoni?Kwanini kampeni zisingeanza mikoa mingine na Dar es Salaam ikawa hapo baadae?Je kipindupindu gani kinazuka wakati wa kiangazi mazingika yakiwa makavu.Je muda huwa wa uhairishaji mtaufidia vipi ili zitimie siku zilizopangwa hapo awali.Uchaguzi lazima ufanyike 25/10/15,siku za kampeni mmepunguza je waliokwisha weka mikakati watafidiwaje siku zitakazopungua?
 
Juzi Lowasaa akiwa Arusha aliwonya polisi na utawala na dola kugoma kuachia madaraka atakopowaondoa rasmi octoba..na kusisitiza atawashitaki ICC the Hague..Hayajapita masaa 72..Mwendesha mashtaka mahakama hiyo Bi Fatou Bensouda Leo saa kumi jioni amesema yafuatayo..`The ICC is keenly watching and following closely wat is transpiring in Tanzania's fourth coming General Elections and as we did in countries like Kenya,Ivory coast and Congo we shall expeditiously act with immediate effect on any cases of human rights violations'.
 
  • Thanks
Reactions: rr3
Hapa tume na akina kikwete kuna mchezo wanataka kuucheza, inabidi ukawa wawe makini, na pia ukawa sijasikia wakifanyia kazi suala la vijana wengi kutoona majina yao kwenye daftari la wapiga kura wakati wa kuhakiki.

Pia ukawa inabidi kupigana na mapingamizi, maana ccm waliyatumia sana uchaguzi wa serekali za mitaa, wakapata karibia asilimia 40 za viti vyamapingamizi.
 
  • Thanks
Reactions: rr3
Back
Top Bottom