Una kiherehere sana Kijana!!Akina mdee wanasema wao ni wanachadema halali.
Toa kauli yako. Maana watanzania wanaona kama wamefukuzwa.
Ni Wanachama halali Ndio sababu wako Bungeni 😄
Alizungumzia wale Waswahili akina Mrs Kitenge🐼Kwa hivyo lissu akituzuga?