Swali kwa Mh John Mnyika

FJM

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
8,081
6,198
MODs kwa hisani yako naomba muiache hii thread ijitegemee walau kwa muda.

Baada ya Mh.Ngeleja kuwasilisha budget ya Wizara ya nishati na madini, Mwenyekiti wa kamati husika naye alitoa maoni ya kamati yake na kimsingi alitoa mtizamo tofauti kabisa na budget ya Mh Ngeleja. Na kama tujuavyo budget za wizara hupitiwa na kamati husika kwa marekebisho/maboresho kabla ya kusomwa bungeni Maadam Mh John Mnyika ni mjumbe wa kamati hii ningeomba atusaidia kwenye maswali yatuatayo:

1. Kamati ya Bunge ilipitia Budget ya Wizara ya Nishati na Madini?
2. Kamati kwa ujumla wake iliridhia budget hiyo? kama hapana kwa nini?
3. Kama kuna ushauri/mapendekezo, wizara ilirekebisha kabla ya kusoma bungeni?
4. Mapendekezo aliyosoma mwenyekiti wa kamati ndiyo hayo yaliyokubaliwa na wanakamati wote?
5. Wanakamati walipewa fedha na mtu au watu au kampuni au taasisi yoyote kwa maelezo ya 'kusaidia kupitisha' budget ya wizara ya nishati?

Very important Mheshimiwa kupata majibu ya hayo maswali.
 
MODs kwa hisani yako naomba muiache hii thread ijitegemee walau kwa muda.

Baada ya Mh.Ngeleja kuwasilisha budget ya Wizara ya nishati na madini, Mwenyekiti wa kamati husika naye alitoa maoni ya kamati yake na kimsingi alitoa mtizamo tofauti kabisa na budget ya Mh Ngeleja. Na kama tujuavyo budget za wizara hupitiwa na kamati husika kwa marekebisho/maboresho kabla ya kusomwa bungeni Maadam Mh John Mnyika ni mjumbe wa kamati hii ningeomba atusaidia kwenye maswali yatuatayo:

1. Kamati ya Bunge ilipitia Budget ya Wizara ya Nishati na Madini?
2. Kamati kwa ujumla wake iliridhia budget hiyo? kama hapana kwa nini?
3. Kama kuna ushauri/mapendekezo, wizara ilirekebisha kabla ya kusoma bungeni?
4. Mapendekezo aliyosoma mwenyekiti wa kamati ndiyo hayo yaliyokubaliwa na wanakamati wote?
5. Wanakamati walipewa fedha na mtu au watu au kampuni au taasisi yoyote kwa maelezo ya 'kusaidia kupitisha' budget ya wizara ya nishati?

Very important Mheshimiwa kupata majibu ya hayo maswali.
Mkuu haya maswali magumu kweli kweli..............na ndiyo yameficha kila kitu!!
Mh. Mnyika COME CLEAN hapa!! tupe za ndani au you are included!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Nilitaka kuchangia lakini kumbe ili swali la Mh John Mnyika, ungempelekea kule facebook ndipo maskani yake, huku sidhani kama atakuja
 
hawezi kujibu....

Sijui afya walipitaje kwakweli

Na ile ya Chikawe na issue ya Radar. Its is about time sisi wananchi tujuwe nani hizi kamati za bunge zinafanya kazi kwa niaba ya bunge na wananchi au rubber stamp? Tafadhali Mnyika toa majibu.
 
huyo nae yumo, wasitake kutuletea uongo hapa, aje aeleze ajibu hayo maswali cdm nao wanafiki sana

kamati ina wajumbe kama 30 hivi mmemuona mnyika pekee? Wengine walio salia hamuwaoni? Acheni unge.mse nge hapa.

Mnyika muulizeni kuhusu maoni yakambi ya upin zani hayo ya kamati ya nishati na madini muulizeni makamba. Yeye kwa cheo chake anaingiaga kuwasilisha maoni ya upinzani ndani ya kamati husika maswala ya kupitisha yanahusu wanakamati wenyewe
 
kamati ina wajumbe kama 30 hivi mmemuona mnyika pekee? Wengine walio salia hamuwaoni? Acheni unge.mse nge hapa.

Mnyika muulizeni kuhusu maoni yakambi ya upin zani hayo ya kamati ya nishati na madini muulizeni makamba. Yeye kwa cheo chake anaingiaga kuwasilisha maoni ya upinzani ndani ya kamati husika maswala ya kupitisha yanahusu wanakamati wenyewe

On the red: ndio sababu tunataka kujua 'mbivu na mbichi'. The reason ccm imefikia hapo ilipo ni kwa sababu wanasema hili wanafanye the opposite. CHADEMA wametupa matumaini kuwa wako watanzania wanaojali maslahi yetu sisi walala hoi. Sasa Mnyika akiwa kama mwanakamati na waziri kivuli wa wizara ya nishati na madini atujibie hayo maswali ili tusiendelee kupiga 'ramli' vichwani as who got what?
 
FJM,

Maswali uliyouliza ni maswali ya msingi kabisa. Ni matumaini yangu Mheshimiwa Mnyika atayapatia majibu .
 
  • Thanks
Reactions: FJM
MODs kwa hisani yako naomba muiache hii thread ijitegemee walau kwa muda.

Baada ya Mh.Ngeleja kuwasilisha budget ya Wizara ya nishati na madini, Mwenyekiti wa kamati husika naye alitoa maoni ya kamati yake na kimsingi alitoa mtizamo tofauti kabisa na budget ya Mh Ngeleja. Na kama tujuavyo budget za wizara hupitiwa na kamati husika kwa marekebisho/maboresho kabla ya kusomwa bungeni Maadam Mh John Mnyika ni mjumbe wa kamati hii ningeomba atusaidia kwenye maswali yatuatayo:

1. Kamati ya Bunge ilipitia Budget ya Wizara ya Nishati na Madini?
2. Kamati kwa ujumla wake iliridhia budget hiyo? kama hapana kwa nini?
3. Kama kuna ushauri/mapendekezo, wizara ilirekebisha kabla ya kusoma bungeni?
4. Mapendekezo aliyosoma mwenyekiti wa kamati ndiyo hayo yaliyokubaliwa na wanakamati wote?
5. Wanakamati walipewa fedha na mtu au watu au kampuni au taasisi yoyote kwa maelezo ya 'kusaidia kupitisha' budget ya wizara ya nishati?

Very important Mheshimiwa kupata majibu ya hayo maswali.

kwenye red ndio swali, Hayo mengine kamuulize J. Makamba m/kiti kamati ama ngeleja pamoja na Jairo watakujuza vizuri
 
Mkuu haya maswali magumu kweli kweli..............na ndiyo yameficha kila kitu!!Mh. Mnyika COME CLEAN hapa!! tupe za ndani au you are included!!
Hayo maswali si magumu unless mmeamua kuyafanya yawe magumu na kuruhusu akili zenu kutofikiri. CCM twaijua fika, matendo yao na uking'ang'anizi wao sio jambo geni masikion au machoni mwetu. HATA KAMA WALISHAURI NAUHAKIKA WALIPUUZWA.. thats why walikuja na mkakati mbadala wa kuhakikisha mambo yao yanasonga mbele!
 
Hayo maswali si magumu unless mmeamua kuyafanya yawe magumu na kuruhusu akili zenu kutofikiri. CCM twaijua fika, matendo yao na uking'ang'anizi wao sio jambo geni masikion au machoni mwetu. HATA KAMA WALISHAURI NAUHAKIKA WALIPUUZWA.. thats why walikuja na mkakati mbadala wa kuhakikisha mambo yao yanasonga mbele!

Baada ya miaka 50 ya utawala hakuna tusichojua kuhusu CCM na ndio maana tunataka kujua how reliabe is the other side. Kwa maoni yangu kama wananchi hawakuwa makini na kuhoji vitu/watu mara kwa mara tutaendelea kuwa na huu mfumo wa 'rubber stamp. Sasa hivi watu wengi wana 'hope' kubwa sana ya kuaondokana na 'walanguzi'. Na ili tusijiingize kwenye matatizo yale yale we better clear all doubts (if any).

Sikuuliza haya maswali kwa January Makamba simply becuase he is part of the wrong eqution. There is nothing new unless you're looking the usual rhetoric.!
 
... Mleta mada unauliza ili tupate megawati 300 au? otherwise just think twice.
 
... Mleta mada unauliza ili tupate megawati 300 au? otherwise just think twice.

Nakata kujua budget aliyosoma Ngeleja bungeni ilifikaje hapo bungeni, ilisafiri vipi? na njiani kulikuwa na makorongo, mabonde, milima, mvua, jua, njaa, shibe? Nina akili timamu ninapouliza haya mambo. Na kama Mnyika ana majibu mazuri (I would like to believe he has), basi CHADEMA wanaweza kuwatesa ccm kama ambavyo ED Milband anamtesa David Cameroon kwenye saga ya Mudorch na hacking huko Uiengereza. All Mnyika needs to do to inform the public majibu ya maswali niliyouliza, then uone mdundiko utakavyonoga kwa ccm!
 
Mnyika jamani tunamsubiri. I hope atapata muda leo baadae ili atuambie ilikuwaje bajeti ikasomwa.
 
Back
Top Bottom