Kenge yule, sio mchungaji na hafai kabisa, nawashangaa wanamfuata kusali kanisani kwake nao ni vilaza, alishapewa fedha na Lowasa, ale tu malimao tu safari hii. Best wake kapigwa chini, watasaidiana kula malimao wao wenyewe"Asiyemtaka Lowassa
akale malimao!" Hicho ndicho alichosema Gwajima alipokuwa kwenye mkutano wa Lowasa Arusha. Nadhani sasa imefikia zamu yake kuanza kufakamia malimao na ndimu!
Sipati picha mzee kingunge yupo katika hali gani muda huu
Hahahaaaaaaaaa , nimecheka sana Mkuu!
Si zamu ya Gwajima tu bali Team Lowassa wote!!
"Asiyemtaka Lowassa
akale malimao!" Hicho ndicho alichosema Gwajima alipokuwa kwenye mkutano wa Lowasa Arusha. Nadhani sasa imefikia zamu yake kuanza kufakamia malimao na ndimu!
"Asiyemtaka Lowassa
akale malimao!" Hicho ndicho alichosema Gwajima alipokuwa kwenye mkutano wa Lowasa Arusha. Nadhani sasa imefikia zamu yake kuanza kufakamia malimao na ndimu!
Bila shaka watakuwa wamemkimbiza kwenye hospitali mojawapo hapo Dom kutokana na kupanda kwa blood pressure.Sipati picha mzee kingunge yupo katika hali gani muda huu