Swali kwa ambao hawajaoa/olewa bado!

Swali kwa ambao hawajaoa/olewa bado!

Horseshoe Arch

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2009
Posts
13,402
Reaction score
12,787
Nisaidie hili :KUNA BWANA 1 MKAZI WA UNGUJA, ILA yupo London akawaagiza nduguze wamuolee MKE, wakamuolea. Jamaa akaja Unguja Ili kukutana na MKEWE.
Alipofika air port zanzbar kabla hajafika nyumbani akakutana na msichana mzuri akashawishika akamtongoza wakaenda guest na wakafanya MAPENZI!
Alipoenda nyumbani,ili akutane na MKEWE, akaambiwa yupo sokoni, aliporudi yule msichana kumbe ndio MKE mwenyewe! aliyekuwa nae gest, Je huyo Jamaa alizini au alilala na MKEWE? Na mme atamchukuliaje mke wake? mke atamwonaje mme? nani malaya?
 
wote hawafai kwa hiyo kama vipi wajipange wake chini waamue ikiwa watasameheana na kuendelea au ndio iwe mwisho wao.
 
wote hawafai kwa hiyo kama vipi wajipange wake chini waamue ikiwa watasameheana na kuendelea au ndio iwe mwisho wao.

Lakini mkuu huoni mshawasha walioupata baada ya kuonana unaashiria hata kama huyu bwana angechagua mke chaguo lake lingeangukia kwa huyu bi dada?
 
kwa nini wapate mshawasha kwa mtu ambaye hamjui?ina maana kama wasingekuwa ndo mume na mke tayari wangekuwa wameshasalitiana na ndo maana nika sema wote hawafai...
Lakini mkuu huoni mshawasha walioupata baada ya kuonana unaashiria hata kama huyu bwana angechagua mke chaguo lake lingeangukia kwa huyu bi dada?
 
Waoaji lazima walijua vigezo vya wote wawili. Mume anataka mtu wa aina gani na mke anataka mume wa aina gani. Waendeleze mautundu waliyoyapata kiwiziwizi.
 
Hizi stori nilikuwa nahadithiwa na babu yangu kipindi kile nikiwa mdogo tunakaa kwenye kikome ananiambia hivyo. Mleta mada nadhani anajua nini maana yake kama hajui ni hivi hii hadithi inatufundisha tusifanye mapenzi kabla ya kuoa.

Nisaidie hili :KUNA BWANA 1 MKAZI WA UNGUJA, ILA yupo London akawaagiza nduguze wamuolee MKE, wakamuolea. Jamaa akaja Unguja Ili kukutana na MKEWE.
Alipofika air port zanzbar kabla hajafika nyumbani akakutana na msichana mzuri akashawishika akamtongoza wakaenda guest na wakafanya MAPENZI!
Alipoenda nyumbani,ili akutane na MKEWE, akaambiwa yupo sokoni, aliporudi yule msichana kumbe ndio MKE mwenyewe! aliyekuwa nae gest, Je huyo Jamaa alizini au alilala na MKEWE? Na mme atamchukuliaje mke wake? mke atamwonaje mme? nani malaya?
 
Hizi stori nilikuwa nahadithiwa na babu yangu kipindi kile nikiwa mdogo tunakaa kwenye kikome ananiambia hivyo. Mleta mada nadhani anajua nini maana yake kama hajui ni hivi hii hadithi inatufundisha tusifanye mapenzi kabla ya kuoa.

Zamani mtu akiitwa babu ni kwamba ni babu hasa,kwa kuwa umri pia ulikuwa umesogea,bad enough sasa vijana wanaitwa babu wakiwa na early 30,wajukuu wenyewe digital hawana hata huo mda wa kusikiliza hadithi
 
Zamani mtu akiitwa babu ni kwamba ni babu hasa,kwa kuwa umri pia ulikuwa umesogea,bad enough sasa vijana wanaitwa babu wakiwa na early 30,wajukuu wenyewe digital hawana hata huo mda wa kusikiliza hadithi

Hiyo digitali yenu ndiyo inawasababishia matatizo kila kukicha kwenye mahusiano. Mnajifanya digitali wakati mkiwatongoza wasichana chakwana unmuhaidi kumuoa akisha kuvulia chupi unamwacha, unatafuta mwingine unamdanganya.
 
Hiyo digitali yenu ndiyo inawasababishia matatizo kila kukicha kwenye mahusiano. Mnajifanya digitali wakati mkiwatongoza wasichana chakwana unmuhaidi kumuoa akisha kuvulia chupi unamwacha, unatafuta mwingine unamdanganya.

Nitake radhi mimi babu yako kijana....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom