Swali kwa akina Sisters

Swali kwa akina Sisters

ukiona hivyo jua hakupendi kabisa hana hisia na ww achana na kitu ambacho una hisia nacho unajihisi upo ulimwengu mwingine

Pia nadhani wanawake maumbile yao ni tofauti na ya wanaume.
Hivyo, kuna mawili,ukimdandia mwanamke mwanzo mwisho utamuona hana time na wewe,
Mapenzi ni akilini.Kama mtu ana mawazo wewe unawaza kuingiza tu sahau furaha yake.Nadhani ukishamleta kwenye moods mwenyewe anaweza akalianzisha
 
Mpe muda. Baada ya kutoka hedhi hamu inakata kisha baadae saana inarudi... Ila jaribu kumpa zawadi na kufanya vinavyo mvutia.. Huwa sisi iko kwenye moyo na akili zaidi... Nwambie maneno matamu sababu haijalishi umemuandaaje kama hajakubali moyoni ataona unafanya chini ya kiwango anaweza kukudharau.
 
Back
Top Bottom