Remark
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 447
- 854
Ila ni kweli hii chumvi sio ulozi maana hata kwenye biblia wameizungumzia 2wafalme 2:19-22… maji ya mapoza yalitibiwa kwa kutumia chumviJiongeze mzee baba!
Ila ni kweli hii chumvi sio ulozi maana hata kwenye biblia wameizungumzia 2wafalme 2:19-22… maji ya mapoza yalitibiwa kwa kutumia chumviJiongeze mzee baba!
Ulitisha ktk huu uzi Ja-Rule mzee wa vipinchi💪, namm wame nitumua aisee hii 2021 december sa'bu kuchoma ,maana nilikua nikiskia mipaka au milio yyt ktk bati mm naamka nachukua chotezo lenye vitundu like nawasha Gas NALIPUA mabom wee nomaa🔥🔥, baasi ikawa kimyaa no mandoto ya ajabu wala mipaka na wala mbwa wao kulialia km ana nyege, sab'u tangu nianze zoezi mbwa tulio mkuta alikua analia milio ya sinto faham kbs basi tukajua nyegez tukawa tuna mfungulia geti sisi tena sio wao maana tulikua hatulalii kwa milio ya ajabu lkn akawa harudi hata 3 dayz na baadae akapotea mazimaa, basi tena kuna siku mama mwenyumba alkua sjui anaumwa,akaleta wanamaombi design walokole wakawa wanapiga maombi,eti mpaka ktk madirishani wanakuja kukemea😂😂😂 baada ya siku 2 mzee mwenyenyumba akasema tuhame kodi ataturudishia eti kisa tu mkewangu hua hafagii uwanja, mm nikastukia nikafrah sanaa na kodi ya miez 2 ilio baki tuka potezea tuka shift, yaani CHUMVI NI BALAA Big up to Mshana.Jr💪👍👍Lazma akufukuze tu hamna namna, huwezi kugoma kumlimia shamba 🤣🤣🤣🤣🤣
Si yale maji ya marashali au yakua ktk chapa za Haineken? So una mix ktk maji ulio wekea na Chumvi au kivyaevyake tu? Nipe madini mzee wa ma MotorCarsBuku tu mkuu
Unatia vifuniko viwili tu kwa maji ya robo ndoo unajisuuza nayo haina haja ya kumix na chumvi kama una mdudu utausikia tu mwili lazma uitike😅!Si yale maji ya marashali au yakua ktk chapa za Haineken? So una mix ktk maji ulio wekea na Chumvi au kivyaevyake tu? Nipe madini mzee wa ma MotorCars
Ume tisha mzee baba,wanga na wachawi tyr tume wadhibiti ngoja tujioshe sasa kudaadek😂😂Unatia vifuniko viwili tu kwa maji ya robo ndoo unajisuuza nayo haina haja ya kumix na chumvi kama una mdudu utausikia tu mwili lazma uitike😅
unauliza tu marashi rose au yana jina lingine?Unatia vifuniko viwili tu kwa maji ya robo ndoo unajisuuza nayo haina haja ya kumix na chumvi kama una mdudu utausikia tu mwili lazma uitike😅!
Unaoga part 1 na sabuni vizuri ukimaliza unakuja part 2 ya rose essence hio maji kidogo.
Ukienda dukani unaul
unauliza tu marashi rose au yana jina lingine?
Uhakika yani😅 utaona hata upepo wa hela unakaa freshiUme tisha mzee baba,wanga na wachawi tyr tume wadhibiti ngoja tujioshe sasa kudaadek😂😂
Leo tu naanza nayo, maana chumvi imakua ni km kawaida kuoga nao kwa waganga nowdays nooUhakika yani utaona hata upepo wa hela unakaa freshi
Tena usirudi nenda ktk jukwaa la mapenzi kuleHuu ni uzi wa wachawi na walozi
Ngoja nisepe
Inasaidia
Naendelea kusoma comments
Huu ni uzi wa wachawi na walozi
Ngoja nisepe
True hawa wapumbavu ukizijua codes zao awakusumbui,watu wanalogwa kwa kukosa maarifa.Mi nimeimwaga humu ndani kwangu, kuna wakati nilikuwa silali deile lazma wachawi wanletee ufala night ila kwa sasa siwasikii kutua tena. 🤣🤣🤣🤣🤣 naona wamehama mtaa!
Dozi ni kutia pinch katika kila kona ya nyumba yako kwa ndani.
Huyo kiande mchawiTena usirudi nenda ktk jukwaa la mapenzi kule
Napenda kujua ni nini hasa maana ya husda, kijicho,hila nk.. muathirika wa hayo anapata madhara gani?
Sent using Jamii Forums mobile app