Swali kuhusu fomu ya NIDA

Swali kuhusu fomu ya NIDA

stewie

Senior Member
Joined
Sep 30, 2019
Posts
118
Reaction score
285
Wakuu kwenye form ya NIDA kuna kipengele kipo kinahitaji ujaze Namba ya cheti cha elimu ya juu, sasa je hapo utajaza Index number yako yaani examination number au utajaza ile namba iliyopo chini ya cheti chako, na pia vibox vipo pungufu ya hizo herufi na number je unaweza jaza ukavuka hata zile boxes?
 
Ndioooooo. Ile ya chuo inaitwa namba ya usajili
Sasa number ya cheti ina digits zaidi ya nane, je naweza zidisha hizo characters? maana nitavuka vile vibox
 
Ndioooooo. Ile ya chuo inaitwa namba ya usajili
Sasa number ya cheti ina digits zaidi ya nane, je naweza zidisha hizo characters? maana nitavuka vile vibox
 
Kipengele hicho sio lazima ukijaze.

Wewe jifanye kama umeishia la 7 au form 4 kuashiria hicho kipengele hakikuhusu.

Kuna vipengele sio lazima ujaze
No sio mimi ni mdogo wangu sasa hana vitambulisho vingine zaidi ya cheti cha 4 so lazima ajaze hapo
 
Mara nyingi cheti kinachotakiwa ni cha Form 4. Nakushauri ujaze namba ya Form 4
 
Wakuu kwenye form ya NIDA kuna kipengele kipo kinahitaji ujaze Namba ya cheti cha elimu ya juu, sasa je hapo utajaza Index number yako yaani examination number au utajaza ile namba iliyopo chini ya cheti chako, na pia vibox vipo pungufu ya hizo herufi na number je unaweza jaza ukavuka hata zile boxes?
hiyo form umeikota mkuu. kwanini usmuulize aliyekupatia form haya maswali yako
 
Back
Top Bottom