Jibu. Ndio ni kosa, anatuhumiwa kuondoa uhai wa mtoto aliye tumboni.
Pia anatuhumiwa kwa kujaribu kujiua yeye mwenyewe maana pengine halikuwa lengo kutoa mimba bali kujiua ikafeli mimba ikatoka.
Adhabu yake ni kifungo jela kuanzia miezi 6 na zaidi(sina hakika kwenye adhabu)