Gerad2008
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 583
- 287
Jk ameulizwa na mwakilishi wa ATN : Mh. tueleze je baada ya muda wako wa urais tutakukumbuka kwa lipi
Kikwete JIBU: Kwanza anaweka irrelevant story then anajibu: Mtanikumbuka kwamba NILIWATOA KULE NIKWALET HAPA:sad::sad:.
Mbona hasemi alikotutoa na alikotuweka
Mi nahisi alitutoa katika mwelekeo aliotuachia mkapa na kutuacha solemba:israel:😛eep::ballchain:
Kikwete JIBU: Kwanza anaweka irrelevant story then anajibu: Mtanikumbuka kwamba NILIWATOA KULE NIKWALET HAPA:sad::sad:.
Mbona hasemi alikotutoa na alikotuweka
Mi nahisi alitutoa katika mwelekeo aliotuachia mkapa na kutuacha solemba:israel:😛eep::ballchain: