cjawahi kumpigia kura, so mimi na yeye 50-50. hatujuwani, hatukumbukani.
Kwa nyie lakini "Mtamkumbuka kwa kuchekacheka, safari za hapa na pale na jina alilopewa na Mnyika".
Hatakumbukwa kwa kuwa rais wa kwanza duniani kusafiri sana na kutumia vibaya pesa za walipa kodi
Bliv me or not! JK juniour atakua RAIS bora kuliko yeyote yule kwa waliomtangulia kwa kazi kubwa moja tu nayo ni kutuondolea CCM jamani hii sikazi raisi km wengi tunavyo dhani so tusimpuuze tumpe moyo ili aweze kufanikisha zoezi lake hilo...MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU MBARIKI CHAGUO LAKO MPENDWA HILI ATIMIZE AZIMA YAKE...AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN