QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Wana JF, Salamu.
Ni jana tu nilipata fursa ya kuongea na vijana wawili kutoka Mbalali, mkoani Mbeya na kunielezaa kuwa huko kuna CCM tu na hakuna chama kingine chenye nguvu. Mimi nikataka ushahidi lakini hawakuwa nao.
hata hivyo niliichukua kama point nikataka kujua kwa wana JF mnaoifahamu mbalali, kweli mbalali hakuna CHADEMA?
Naomba nisaidieni mwenye taarifa kamili
Quality Chality
Quality First
Ni jana tu nilipata fursa ya kuongea na vijana wawili kutoka Mbalali, mkoani Mbeya na kunielezaa kuwa huko kuna CCM tu na hakuna chama kingine chenye nguvu. Mimi nikataka ushahidi lakini hawakuwa nao.
hata hivyo niliichukua kama point nikataka kujua kwa wana JF mnaoifahamu mbalali, kweli mbalali hakuna CHADEMA?
Naomba nisaidieni mwenye taarifa kamili
Quality Chality
Quality First