jangala22
Senior Member
- May 20, 2021
- 140
- 108
Nawasilimu wote
Kuna jambo nimekuwa nikitafakari kichwani muda mrefu sasa,ipo hivi kama ilivyo kawaida kila mtu ana njia yake ya kusaka riziki mfano wengine ni waajiriwa wa serekali na sekta binafsi wengine wamejiajiri.
Jambo ninalotafakar mimi kwa sisi waajiriwa ikitokea siku huna kibarua je utafanya nini unachomudu maishani mwako nachojiuliza mimi ni "what am l good at" kama wewe ni mwajiriwa au upo tu huna fani inayokuingizia shilingi mbili tatu ni vzr na wewe ukatafakar hilo jambo napenda kuwasilisha hoja asanteni kwa muda wenu .
Kuna jambo nimekuwa nikitafakari kichwani muda mrefu sasa,ipo hivi kama ilivyo kawaida kila mtu ana njia yake ya kusaka riziki mfano wengine ni waajiriwa wa serekali na sekta binafsi wengine wamejiajiri.
Jambo ninalotafakar mimi kwa sisi waajiriwa ikitokea siku huna kibarua je utafanya nini unachomudu maishani mwako nachojiuliza mimi ni "what am l good at" kama wewe ni mwajiriwa au upo tu huna fani inayokuingizia shilingi mbili tatu ni vzr na wewe ukatafakar hilo jambo napenda kuwasilisha hoja asanteni kwa muda wenu .