Swali gumu kuliko yote; Socrates alimaanisha nin?

Swali gumu kuliko yote; Socrates alimaanisha nin?

kidadari

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
8,646
Reaction score
9,619
Mwanafilosifia nguli duniani (Socrates) aliwahi kusema "By all means marry, If u get a good wife you will become happy, if you get a bad one you will become a phylosopher".!
Kwenu GT huyu philosopher alikuwa na maana gani?
 
Kaka, subirisubiri kidogo. Wadau wako bize na ajenda ya ZZK V/s Kombaini ya (Kirimanjaro+Arusha+Singida). Wakipata fursa Watakuja kukudadavulia!
 
Kuna mwanamuziki wa kizazi kipya juzijuzi tu aliimba: namnukuu "UKIWA MJANJA KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI"huyu mwanafalsafa yalimkuta tokea enzi hizo
 
Ahaa! Philosophy maana yake kupenda hekima (love of wisdom). If you get a bad wife you surely need wisdom to live with her! If you dont have it, you need to get it.

kama kumegewa ni siri ya ndani! Busara inahitajika kudeal na hawa viumbe.
 
Kuna mwanamuziki wa kizazi kipya juzijuzi tu aliimba: namnukuu "UKIWA MJANJA KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI"huyu mwanafalsafa yalimkuta tokea enzi hizo
mkuu unamaanisha Socrates aliwahi kumegewa mke?
 
mkuu unamaanisha Socrates aliwahi kumegewa mke?



Unashangaa nini? Uzinzi is part of human nature na ndiyo maana si wewe au mimi au hata wana JF wenzetu wanaweza kusuluhisha hii kitu. Tumeumbwa na kupewa ili tupeane na kumegeana, na ndiyo maana wanasema kuwa siri ya ndani ni kati ya mpkokeaji na mtoaji, na si vinginevyo!
 
Unashangaa nini? Uzinzi is part of human nature na ndiyo maana si wewe au mimi au hata wana JF wenzetu wanaweza kusuluhisha hii kitu. Tumeumbwa na kupewa ili tupeane na kumegeana, na ndiyo maana wanasema kuwa siri ya ndani ni kati ya mpkokeaji na mtoaji, na si vinginevyo!

mambo yenye utata.
 
Back
Top Bottom