Swali; CCM kuja na ACT au chama kingine upya 2019??

Rasterman

JF-Expert Member
Feb 24, 2015
33,905
44,017
Sote tunakumbuka namna na jinsi chama cha ACT kilivyoanzishwa. Kilitokama na mgongano kati ya makada na wajumbe wa baraza kuu la chama cha demokrasia na maendeleo baada ya waasisi wa chama (ACT) zitto kabwe, Mwigamba , kitila.mkumbo na wengine kukamatwa na walaka uliokuwa unalengo la kukihujumu chama. Mengi yalisemwa wakati huo ikiwemo madai ya kuwa watuhumiwa hao( waasisi wa ACT) kutumiwa na wapinzani wa chadema(CCM) kukiyumbisha chama.

Ilikuqa ni vigumu kuamini.kuwa Zitto kabwe na wengine walioonekana kukitumikia chama kwa jitihada na uaninifu wanaweza kujihusisha na kashfa kubwa namna ile.
Wengine walisema ACT ni ccm B kila mtu aliongea lake. Msimamo wa chama CHADEMa ilikuwa ni kuwafukuza watu wale kabla hawajaemeza sumu ya kufisha ndani ya chama, na kweli ulikuwa ni uamuzigumu na.wenye tija.
Sasa waliounda ACT wameamua kukibomoa aidha kwa kuona wamefeli ktk mision yao au wametimiza kile walichotumwa kukifanya. Lakini Chedema bado ndio kwanza kimezidi kuimarika, je mbinu hiyo iliyotumika imefeli? Au je 2019 maandalizi ya uchaguzi CCM itaanda chama kingine kuhujumu upinzani au ndio wamekubali kuachia madaraka??
 
CHief hali yetu kifedha ni mbaya sana hata mpaka sasa hatujaanza utaratibu wa uchaguzi wa ndani maana hatuna fedha za kuendeshea hata uchaguzi sembuse kufinance chama kipya. Lipumba atosha
 
CHief hali yetu kifedha ni mbaya sana hata mpaka sasa hatujaanza utaratibu wa uchaguzi wa ndani maana hatuna fedha za kuendeshea hata uchaguzi sembuse kufinance chama kipya. Lipumba atosha
Hahahaaa kweli hali mbaya maana hata kuendeaha serikali na.kutimiza ahdi zenu.mmefeli
 
Kila chama kipya kitakachoanzishwa basi kimeanzishwa na ccm!!!?baadhi ya watanzania bana mnaibana demokrasia wenyewe na kusingizia wengine madikteta
 
Kila chama kipya kitakachoanzishwa basi kimeanzishwa na ccm!!!?baadhi ya watanzania bana mnaibana demokrasia wenyewe na kusingizia wengine madikteta
Hakuna tatizo kuanzisha chama kipya, tatizo lipo kwenye namna ya uanzishwaji wake.
The END has JUSTIFIED what the founders of ACT intended, now everything is made OPEN.
 
kuanzisha chama kipya ni vgumu isipokuwa washenz na wanafik wata2miwa kweny vle vle vyama pnzani vyenye nguvu ili kuvivuruga nguvu yao
 
Back
Top Bottom