KISHUMUI
Member
- Nov 11, 2011
- 6
- 0
Ni kweli kwamba kila mtu ana hisia na pia anajua hisia zitatuliaje,wapendwa kuna jambo hili linalonipa shida kipekee hasa ninapojaribu kulinganisha na maisha ya nchi hii,swala la ngono limekuwa ni kawaida mashuleni ama wanfunz wenyewe kwa wenyewe au jamii nyingine na wanafunzi .sas najiuliza ivi inamaana zamani hakukuwa na hisia au wazee wetu walifanyaje?l