...-KIPENGELE CHA 3 KINASEMA ".(3) Shughuli ya uendeshaji wa jumuiya za dini itakuwa nje yashughuli za mamlaka ya Serikali". KWA HIVI SASA SERIKALI IMEINGIA MIKATABA NA JUMUIYA ZA KIDINI KUHUSU UENDESHAJI WA HUDUMA ZA ELIMU NA AFYA. KWA MFANO KUNA MKATABA WA MWAKA 1994 MAARUFU KAMA M.O.U. KATI YA SERIKALI NA MAKANISA. SERIKALI INATUMIA KODI ZA WANANCHI HADI WA MADHEHEBU MENGINE KUYAPA MAKANISA. kwa kipengele hiki cha 3, ina maana mikataba hii haitokuepo tena!? waislamu wamekua wakilalamikaa kwa muda mrefu kuhusu serikali kuwasahau na kuingia mikataba na makanisa. labda kipengele hiki kitaleta unafuu kwa waislamu!