Swaga za polisi akitongoza

MSELA WA KOTA

New Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
2
Reaction score
1
Unajua nakuthamini zaidi ya POSHO NA MSHAHARA bila wewe siwezi kuishi ni sawa nakukosa BUNDUKI eneo la tukio nitakuheshimu kama LINDO wewe ni IGP wa moyo wangu daima nitakuweka mbele kama CROWN ya kofia mbona kimya nijibu basi nipate kufungua JALADA NDANI YA MOYO wako usinifanye moyo ukaenda mbio kama DEFENDER MPYA nitakuwekea usalama kama msafara wa RAIS nina RB ya penzi lako mpenz wangu usiniweke roho juu kama MAANDAMANO YA CHADEMA. :eyebrows:
 
Hayo ndio maneno ya mwisho ya marehemu mheshimiwa aliyeuawa na polisi-jamii (RIP).
 
Kweli we ni wa kota tena za polic...
 
Dah yaelekea huyu polisi aipenda kazi yake
 
Halafu polisi wanahusudu vimwana, wengi wao huwa na watoto wa nje
 
hahahaha kweli leo nimeongeza siku za kuishi... mistarii imenyooka... hapo dem hapindui..
 
Dah yaelekea huyu polisi aipenda kazi yake

kweli kabisa ila akimpata huyo mwanamke anayemshushia hiyo mistari kazi haitapendwa tena... tatizo lao akikupenda hivyo ukileta mawenge anavaa mabomu mnalipuka wote
 
Mbona hajasema 'nitakulinda dhidi ya kitu kinachosadikika kuwa kizito chenye ncha kali kitakachorushwa kutoka upande usiojulikana'?
 
Mbona hajasema 'nitakulinda dhidi ya kitu kinachosadikika kuwa kizito chenye ncha kali kitakachorushwa kutoka upande usiojulikana'?

Hapooo itabido mwenye siredi ajibuu
 

Duhh kweli we MSELA WA KOTA
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…