Suzuki KEI USED car FOR SALE

Suzuki KEI USED car FOR SALE

Soma nilichokiandika mkuu unaweza kuelewa.
Kwamba hyo Gari ipo juu kibei coz ya ulaji wa mafuta mdogo?...

Ok JP wanaviuza ngap? Ebu ingia BE FORWARD... Uone bei...

Halaf et bila million kumi hukipati? Acha uongo we we.... Tafuta machiz wenzako wauzie
 
Nyongeza kwa kuwasaidia ni kwamba bila ten milion 10 mil hii gari hujaigusa . Bado swala la uelewa ni tatizo kubwa sana . Ila nalitambua hilo na ndio maana tunasaidiana kueleweshana ilihali wote sie niwatanzania

usidanganye watu wewe. kigari kama hicho kwenye mitandao ya tradecarview, beforward, na autorec kinauzwa kuanzia dola 400 tu. Pamoja na gharama za usafiri, ukaguzi, bima hadi bandarini hpo Dar kanafika kwa dola 1400 hadi 1600 sawa na 2.5m had 3m. kukomboa bandarini, ushuru na makorokocho mengine 3m. jumla 6m had 6.8m. hata hivyo endelea kutafuta wateja. wajinga wapo wengi utawapata tu
 
Tatizo lenu wooote hakuna anaejua bei halisi ya hii gari. Tatizo kubwa letu watanzania ni kukoment hata kitu tusichokijua vizuri. Nadhani busara ni kama hujui kitu acha tu kipite. Sio lazima uchangie kila unachokiona machoni pako hata kama hujui. Niushauri tu ndugu zangu

acha kutuzuga. hivyo vigari navijua sana. kununua hadi kukitoa bandarini ni kati ya 5.7milion na 7milion. kama ulinunua wewe kwa million 10 pole sana. Labda kama ulinunua brand new.
 
acha kutuzuga. hivyo vigari navijua sana. kununua hadi kukitoa bandarini ni kati ya 5.7milion na 7milion. kama ulinunua wewe kwa million 10 pole sana. Labda kama ulinunua brand new.

ndio maana naipenda jf,haingizwi mkenge mtu
 
Nenda shinyanga ukawauzie washamba kwa bei hiyo.
 
yaan suzuki swift cc 1.3,5door,inapatikana kwa 7m leo hii kei 3door,650cc uniuzie kwa 8.5?hio bei umedanganya mkuu,zaidi ya 5m ni wizi wa wazi.
N.b kama walivyosema wadau hapo juu,mazuzu hayaishi mjini utauza tu.
 
Tatizo lenu wooote hakuna anaejua bei halisi ya hii gari. Tatizo kubwa letu watanzania ni kukoment hata kitu tusichokijua vizuri. Nadhani busara ni kama hujui kitu acha tu kipite. Sio lazima uchangie kila unachokiona machoni pako hata kama hujui. Niushauri tu ndugu zangu

Kama umeshaona watanzania tuna tatizo KAFANYE BIASHARA NA WAZUNGU
 
Back
Top Bottom