- Thread starter
- #21
Bora hata Toyota cami au terios kid.
Jimny ni maji marefu.
Natamani kungekuwa na Toyota cami zenye cc chini ya 1000
Wewe unatumia cami mkuu?
Bora hata Toyota cami au terios kid.
Jimny ni maji marefu.
Natamani kungekuwa na Toyota cami zenye cc chini ya 1000
Hapana ila naikubali sana sema cc 1300 nitachelewa kujengaWewe unatumia cami mkuu?
Hapana ila naikubali sana sema cc 1300 nitachelewa kujenga
inategemea na edition, maana rav 4 ZIKO kama matoleo manne hivi na harrier vile vile! but generally rav 4 in consumption inaipita harrier maana nyingi engine zake ni ndogo! arrouand 2000cc ..comfortability..harrier ziko comfirtable zaidi...hivi ipi bora zaidi kati ya toyota harrier na toyota rav 4 kwa uimara, comfortability, fuel consumption na mengineyo
Teh teh...Terrios zina cc 650 zitanifaa.Nimekaa na Spacio miaka miwili sasa nadhani nishuke chini tena halafu nitarudi baadae nikishakamilisha mambo mengine muhimu zaidi.Mkuu kwa hapo itabidi ununue pikipiki mkuu wa idara
hivi ipi bora zaidi kati ya toyota harrier na toyota rav 4 kwa uimara, comfortability, fuel consumption na mengineyo