Kiongozi nami nipatie namba ya huyo fundi, maana nimechoka kwenda kwa mafundi, Rav4 yangu kama natembea na sheli kwenye gari hahaaaa...Mkuu let me share with you story yangu
Nina suzuki escudo ya 1994, niliipaki kwa mwaka mmoja mwaka jana mwishoni nkaamua kiamsha, nkaipiga service kubwa na kila kitu, ikawa ina shida ya kuchelewa kubadilisha gear, yan gari zito bila sababu, nkasafiri nalo kama km 650 Hivi kija Dar, kupima consumption ikawa 8km/l...
Kiongozi nami nipatie namba ya huyo fundi, maana nimechoka kwenda kwa mafundi, Rav4 yangu kama natembea na sheli kwenye gari hahaaaa...
sa siumuulize kwanza kwa kuweka namba hake hapa u.emsaidia kuongeza watejaWakuu
Salama kabisa
Magari yote mliotaja hapo yote ni ya fuel injection na ndio mtaalamu wake...
Nashukuru sana mkuu, japo nimechelewa kukupa feedback ni kutokana na kutokuingia kwenye mtandao.Mkuu let me share with you story yangu
Nina suzuki escudo ya 1994, niliipaki kwa mwaka mmoja mwaka jana mwishoni nkaamua kiamsha, nkaipiga service kubwa na kila kitu, ikawa ina shida ya kuchelewa kubadilisha gear, yan gari zito bila sababu, nkasafiri nalo kama km 650 Hivi kija Dar, kupima consumption ikawa 8km/l, kukaa hapo Dar na jam na ac likawa latumia 5km/l, nkakipeleka garage moja fundi akaniambia shida ni gear box, akataka ninune mpya kwa 1.3M nkakataaa maana na hela Ilikiwa imeisha, nkasema nianze badilisha small possible things ambazo zaweza sababisha.. nkabadilisha fuel filter, siku nimeibadilisha hali ikawa mbaya mara tatu maana na nguvu ya gari iliisha yote,, hata kupata speed 40kph ikawa shida,
Then nkaenda garage moja tu randomly mitaa ya gerezani, wakanionyesha jamaa mmoja fundi, bila kumwelezea tatizo jamaa aliniuliza straight mbona watembea na gari lina miss hivyo,, akafungua bonet na akaomba spana zake mbili in less than 5mnts,, jamaa akafix kila kitu na gari ikawa na zaidi ya nguvu sanah na fuel ikawa nzuri 11.5km/l japokuwa najua inaweza kwenda zaidi yahapo kuna modifications zaidi za kufanya.
Tatizo:
Shida ilikuwa wamekosea kufanya timing wakati nabadilisha timing belt., jamaa aliset timing vizuri yakawa yameisha
Ni pm nkutumie namba za fundi kama upo Dar umpekelee atarekebisha tatizo fasta
Swali:
Mwanzo ilikuwa inakula mafuta kwa rate gani!?
Mkuu tafadhali tuwekee namba hapa na sisi tuwasiliane na fundi. Mimi nina Corolla niliweka wese/petrol 5 ltrs shekilango nikaenda airport/JNIA nikarudi Upanga/ Sea View taa inawaka (na kulikua hakuna foleni kabisa)
Mkuu let me share with you story yangu
Nina suzuki escudo ya 1994, niliipaki kwa mwaka mmoja mwaka jana mwishoni nkaamua kiamsha, nkaipiga service kubwa na kila kitu, ikawa ina shida ya kuchelewa kubadilisha gear, yan gari zito bila sababu, nkasafiri nalo kama km 650 Hivi kija Dar, kupima consumption ikawa 8km/l, kukaa hapo Dar na jam na ac likawa latumia 5km/l, nkakipeleka garage moja fundi akaniambia shida ni gear box...
Naomba namba za huyo fundiWakuu Mkitoa feedback itakuwa vyema sanah
Shurkan kwa Mdau mmoja aliona hii post nkamtumia namba za simu za fundi kanipa Mrejesho kwa PM kuwa shida zimeisha kbsah za gari lake
Tupeane mrejesho wakuu