Exaud Minja
Senior Member
- Mar 13, 2009
- 100
- 13
Nimefanikiwa kujenga Apartment chumba, sebule na jiko, self contained nikaomba kuunganishiwa umeme online na contractor akaingiza mchoro online, surveyor kaja kukagua akasema apartment yangu ni ndogo siwezi kupata umeme. Sasa nashindwa kuelewa apartment kuwa ndogo ndio kukosa sifa ya kupata line yake ya umeme ya kujitegemea?