Sura ya mwanamke kwenye noti mpya Marekani

Sura ya mwanamke kwenye noti mpya Marekani

issa ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
1,319
Reaction score
260
Taarifa kutoka benk kuu ya Marekani imesema kuwa wamepanga kutoa noti mpya za dola kumi zenye picha ya mwanamke.

Taarifa hiyo imesema kuwa inawaomba wamarekani wapendekeze jina la mwanamke ambae ataweza kuwekwa picha yake katika noti hizo.

Chanzo: BBC SWAHILI.

Je, kama ingekuwa ndo Tanzania wewe ungempendekeza nani?

Mimi ningempendekeza Lulu au Zari, Wewe je?
 

Attachments

  • 1434609805056.jpg
    1434609805056.jpg
    30.9 KB · Views: 1,193
Mkuu ni kwa Ile noti ya dollar 10 tu na si zote. Kwa taarifa yako tu wa Marekani wengi hawakubaliani na hii kitu.
 
Nyie mnaotaka awekwe mtanzania kwani mmeambiwa hizo ni noti za Tanzania.
 
Pesa inayozungumziwa ni ya USA nyie mnaleta mambo ya Makinda
 
Back
Top Bottom